Mtoa Taarifa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2024
- 213
- 671
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwandikishaji kazingua ila ameomba msamaha anatakiwa kusamehewa.
CHADEMA kama munashindwa kushiba kwenye sahani mutashiba kwenye jungu? Acheni mambo ya kishamba.
Huyo dada naye mpuuzi tuu ujuaji mwingi wameenda kuharibu zoezi tu hapo hawana maana
Huu n upuuzi.....wachukuliwe hatua wote....alianza muda nnje na huyo mwenye sentensi mara "ujinga" mara "upumbavu".....serekali simamieni maadili ya watu wenu.
Mi ni chadema bt naungana nawe kbsWaandikishaji endeleeni na kazi hao wapuuzi kwanza hawajajipanga kushinda uchaguzi hata huyo anayebwabwaja domo soon utamuona CCM ashanunuliwa kama alivyo Msigwa
Hapo kosa kubwa ni kuanza kuandikisha kabla ya saa mbili mana mawakala wakija saa mbili wanaweza kukuta tayari watu ambao si wakazi wa eneo hilo wamejiandikisha.Huyo dada naye mpuuzi tuu ujuaji mwingi wameenda kuharibu zoezi tu hapo hawana maana
Hakuna wakala anaye ruhusiwa kupewa idadi ya wapiga kura walio andikishwa waache ujuaji hao CHADEMA
Kingine huyo muandikishaji haruhusiwi kuonesha nyaraka hizo kwa hao waganga njaa wa CHADEMA. Over