Kinonzo

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011


My take: Wapinzani wa Uganda walipitia mateso makali wakati wa uchaguzi lakini wamepata wabunge kadhaa japo urais walipoteza, sisi hofu yetu ilikua kubwa tumenyongwa kweli. Tusitegemee matumaini ya ushindi wakati tumejaa woga.
 
Sky asante sana kwa hiki kibonzo! Nasikia wabunge ni 50:40 % kwa chama cha Bobi Wine na Museveni
 
Sky asante sana kwa hiki kibonzo! Nasikia wabunge ni 50:40 kwa chama cha Bobi Wine
Wamejitahidi sana hapa inawezekana Kaguta hakutaka yaliyotokea kwa jirani yamtokee yeye, maana mbelewya wana demokrasia ana bunge lenye upinzani. Au huenda aliweka nguvu nyingi kulinda kiti cha Urais.
 
Bob wane kakosa ila kapata wawakilishi👏.
Kwetu ✌️wamekeso wao, na wawakilishi wao..
Nachowapenda waafrika hawana kukataa
Wao wanna...
Hope tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…