My take: Wapinzani wa Uganda walipitia mateso makali wakati wa uchaguzi lakini wamepata wabunge kadhaa japo urais walipoteza, sisi hofu yetu ilikua kubwa tumenyongwa kweli. Tusitegemee matumaini ya ushindi wakati tumejaa woga.
My take: Wapinzani wa Uganda walipitia mateso makali wakati wa uchaguzi lakini wamepata wabunge kadhaa japo urais walipoteza, sisi hofu yetu ilikua kubwa tumenyongwa kweli. Tusitegemee matumaini ya ushindi wakati tumejaa woga.
Wamejitahidi sana hapa inawezekana Kaguta hakutaka yaliyotokea kwa jirani yamtokee yeye, maana mbelewya wana demokrasia ana bunge lenye upinzani. Au huenda aliweka nguvu nyingi kulinda kiti cha Urais.