kinyama kwenye uume

papag

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
1,156
Reaction score
1,667
hallow madoctors!
kuna kanyama kameota kwenye shina la uume wangu.Naogopa kukakata.je ni nini na inasababishwa na nini? tiba yake?
Shukrani sana
 
pole kama hakaumi hizo ni warts.... nipm namba yako nikutumie dawa lakini baada ya maelezo.
NOTE: kutoa dawa adhalani ni hatari maana mtu mwenye ugonjwa tofauti unaofanana na huo anweza kutumia bila maelezo maalum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…