Elections 2010 Kinyang'anyiro cha ubunge huku mikoani na takukuru tatizo sana

Elections 2010 Kinyang'anyiro cha ubunge huku mikoani na takukuru tatizo sana

Jethro

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2009
Posts
2,219
Reaction score
371
Wana JF,

Nilipita mikoani katika safari yangu na kwali niliyo yaona ni mengi sana esp. ktk kinyang'anyiro cha Ubunge kweli kuna makubwa sana mfano mtu yuko mwanza anataka agombee udiwani mwanza hapo nyamagana alafu anataka akagombee ubunge Mara mjini hii inamaaanisha nini mbaya zaidi yeye anamwaga pesa tuu haji jimbo na takukuru wana jua hilo na huku fika taaarifa zimeisha fika kwa Hosea sasa hatujui kama zisha fika CCM makao makuu au laa kwa wale wasio na pesa za kushinda na hwatowa pesa kubwa basi itakuwa ni kuto watendea wagombea wengine haki. na tatizo kubwa ni je wakina nani ndio wakwamishaji wa haya ni je wakatibu wa kata wilaya ktk vitongoji au nini maana hao ni lazima tuu pesa iwafikie tu.

Ivi Takukuru action yao inachukluliwa lini baada ya mgombea kupigiwa kura na wanachama wake au? kwanini asimwagwe mtu wa namna hii mapema hata kabra hajachukua fomu au kupigiwa kura maana kama Takukuru ilisha chukua ushahidi yanu nin huyu mtu awe kwenye kinyang'anyiro cha ubunge??
 
Back
Top Bottom