Kinywa kukauka na kupoteza ladha ya asili

Kinywa kukauka na kupoteza ladha ya asili

mr_yoo

Member
Joined
Oct 14, 2016
Posts
36
Reaction score
23
Habari za mchana wakuu kuna tatizo limenitokea kama mwezi mmoja hivi kinywa kinakua kikavu na kupoteza ladha then nakua na test mbaya mdomoni ni ugojwa gani huu? na nini Tiba yake? msaada tafadhali.
 
Habari za mchana wakuu kuna tatizo limenitokea kama mwezi mmoja hivi kinywa kinakua kikavu na kupoteza ladha then nakua na test mbaya mdomoni ni ugojwa gani huu? na nini Tiba yake? msaada tafadhali.
Wahi hospital kuna bakteria tayari wanafanya yao mdomoni
Ulishawahi kuzama chumvini,?
 
tafua mouth wash skutulia hilo tatizo litaisha kabisa
 
Back
Top Bottom