Wahi hospital kuna bakteria tayari wanafanya yao mdomoniHabari za mchana wakuu kuna tatizo limenitokea kama mwezi mmoja hivi kinywa kinakua kikavu na kupoteza ladha then nakua na test mbaya mdomoni ni ugojwa gani huu? na nini Tiba yake? msaada tafadhali.
Basi ni tatizo la bakteria wa kinywasijahi kufanya huo mchezo mkuu