MAMESHO
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 1,432
- 1,738
Habari za leo wakuu. Wanyalukolo nimewafikia na wote mkaao nyanda za juu kusini.
Wengi mnafahamu kuhusu kinywaji cha ulanzi. Kinywaji hiki huzalishwa kutoka katika aina ya mmea wa ulanzi ambao pia upo maeneo mengi ya nchi hii na barani Afrika. Nina maswali yafutayo ambayo sina majibu.
1. Ni kwa nini upatikane tu ukanda wa juu wa kusini mwa Tanzania? Inamaana tukiotesha mianzi aina hiyo sehemu tofauti hatuwezi kugema tukapata? Africa nzima hakuna sehemu yenye ulanzi isipokuwa huko.
2. Ulanzi unaanza kuwa juice halafu unabadilika kuwa pombe pasipo kuongezwa kitu chochote. Hii inatokeaje? Maana pombe za kienyeji huwa inaongezwa hamira ili kuchachua. Huu haongezwi kitu nini huwa kinatokea?
3.Ni maeneo mangapi yana uwezo wa kuzalisha ulanzi na unazalishwa kwa kiasi gani kwa mwaka?
4.Je kuna teknolojia ya kukuza uzalishaji wa zao hili ambayo inatumika?
Nitangulize shukrani. Ikiwa kuna msaada wa kupata majibu ya maswali haya nashukuru.
Ikiwa kuna wataamu wa mimea na watafiti nitafurahi kujifunza kutoka kwenu.
Wengi mnafahamu kuhusu kinywaji cha ulanzi. Kinywaji hiki huzalishwa kutoka katika aina ya mmea wa ulanzi ambao pia upo maeneo mengi ya nchi hii na barani Afrika. Nina maswali yafutayo ambayo sina majibu.
1. Ni kwa nini upatikane tu ukanda wa juu wa kusini mwa Tanzania? Inamaana tukiotesha mianzi aina hiyo sehemu tofauti hatuwezi kugema tukapata? Africa nzima hakuna sehemu yenye ulanzi isipokuwa huko.
2. Ulanzi unaanza kuwa juice halafu unabadilika kuwa pombe pasipo kuongezwa kitu chochote. Hii inatokeaje? Maana pombe za kienyeji huwa inaongezwa hamira ili kuchachua. Huu haongezwi kitu nini huwa kinatokea?
3.Ni maeneo mangapi yana uwezo wa kuzalisha ulanzi na unazalishwa kwa kiasi gani kwa mwaka?
4.Je kuna teknolojia ya kukuza uzalishaji wa zao hili ambayo inatumika?
Nitangulize shukrani. Ikiwa kuna msaada wa kupata majibu ya maswali haya nashukuru.
Ikiwa kuna wataamu wa mimea na watafiti nitafurahi kujifunza kutoka kwenu.