vimadhara kwa mbaaaaaaali😀😀😀😀Jagérmeister
Beeer🤔Asilimia kubwa ya vitu vingi tunavyovitumia inasemekana vina madhara.Nasikia hadi soda eti zina madhara pengine kuliko hata baadhi ya pombe.Kwa lengo la kuwasaidia watanzania wenzetu,pombe ipi angalao madhara yake ni kidogo kuliko zingine?Je ni spirit,lager,light,red wine au ni ipi?Siyo lazima kutaja moja kwa moja jina la kiwanda au brand name sababu inaweza ku promote au kuharibu biashara ya watu.Tutumie lugha za waliosoma CUBA tu
Ya binadamu au wanyama?Mbuzi au ng'ombe?Maziwa
Asilimia kubwa ya vitu vingi tunavyovitumia inasemekana vina madhara.Nasikia hadi soda eti zina madhara pengine kuliko hata baadhi ya pombe.Kwa lengo la kuwasaidia watanzania wenzetu,pombe ipi angalao madhara yake ni kidogo kuliko zingine?Je ni spirit,lager,light,red wine au ni ipi?Siyo lazima kutaja moja kwa moja jina la kiwanda au brand name sababu inaweza ku promote au kuharibu biashara ya watu.Tutumie lugha za waliosoma CUBA tu
Eeewa yaan haina madharavimadhara kwa mbaaaaaaali😀😀😀😀
Hili dude ni hatariJagérmeister
Mzizi wa babu huoo🔥🔥Jagérmeister
Jagarmeister ni pombe ya ujerumami na wenzetu wanatumia kwa kusaidia mmeng'enyo wa chakula..ila nenda viwanja vyetu unakuta mtu kanunua ile kubwa anakunywa chupa nzima ya 750ml akiona ni sifa na jeuri ya pesaJagérmeister
Ndio Pombe zote kali na matumizi yake,hata grants,unapiga short mambo yanaendelea after lunchJagarmeister ni pombe ya ujerumami na wenzetu wanatumia kwa kusaidia mmeng'enyo wa chakula..ila nenda viwanja vyetu unakuta mtu kanunua ile kubwa anakunywa chupa nzima ya 750ml akiona ni sifa na jeuri ya pesa
Mbege n nzur zaid kama itachujwa vzur.Asilimia kubwa ya vitu vingi tunavyovitumia inasemekana vina madhara.Nasikia hadi soda eti zina madhara pengine kuliko hata baadhi ya pombe.Kwa lengo la kuwasaidia watanzania wenzetu,pombe ipi angalao madhara yake ni kidogo kuliko zingine?Je ni spirit,lager,light,red wine au ni ipi?Siyo lazima kutaja moja kwa moja jina la kiwanda au brand name sababu inaweza ku promote au kuharibu biashara ya watu.Tutumie lugha za waliosoma CUBA tu
Ndio Ndioo MkuuNdio Pombe zote kali na matumizi yake,hata grants,unapiga short mambo yanaendelea after lunch
KombuchaAsilimia kubwa ya vitu vingi tunavyovitumia inasemekana vina madhara.Nasikia hadi soda eti zina madhara pengine kuliko hata baadhi ya pombe.Kwa lengo la kuwasaidia watanzania wenzetu,pombe ipi angalao madhara yake ni kidogo kuliko zingine?Je ni spirit,lager,light,red wine au ni ipi?Siyo lazima kutaja moja kwa moja jina la kiwanda au brand name sababu inaweza ku promote au kuharibu biashara ya watu.Tutumie lugha za waliosoma CUBA tu