"Kinzal" ndio kete aliyokua amebaki nayo Mrusi, hadi sasa zimepigwa chini 13

"Kinzal" ndio kete aliyokua amebaki nayo Mrusi, hadi sasa zimepigwa chini 13

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Urusi walisifia sana kinzhal kwamba inapiga bila kuonekana, kwenye hii video Putin aliisifia kama ndio kila kitu, yaani inakwenda kwa hypersonic speed, sasa Marekani kaipa Ukraine patriot chache tu ambazo zimeiacha Urusi chali....
Supapawaaa......

 
Urusi walisifia sana kinzhal kwamba inapiga bila kuonekana, kwenye hii video Putin aliisifia kama ndio kila kitu, yaani inakwenda kwa hypersonic speed, sasa Marekani kaipa Ukraine patriot chache tu ambazo zimeiacha Urusi chali....
Supapawaaa......


Imenibidi nicheke sana kha

Hivi tunapata nini kushabikia hii vita?

Tusubiri Warusi kutoka Maswa wajibu lol
 
Urusi walisifia sana kinzhal kwamba inapiga bila kuonekana, kwenye hii video Putin aliisifia kama ndio kila kitu, yaani inakwenda kwa hypersonic speed, sasa Marekani kaipa Ukraine patriot chache tu ambazo zimeiacha Urusi chali....
Supapawaaa......

Wekeni picha moja ya kinzhal iliyoharibiwa.
 
Back
Top Bottom