kochaMchezaji
Member
- Feb 15, 2015
- 97
- 84
Yuko na hela mingi ya wajaluo hajui atawaambia NINI wamwelewe!Raila should groom new leaders...his time has come. He should call it off
Watu wenye akili nzuri wanajua sana kumtumia Raila, baada ya Kibaki na Uhuru kumtumia vizuri na kufikia ndoto zao awamu ijayo sijui ni Msalia Mdavadi au nani sijui!
Wote wawekwe ndani siku hiyoTaarifa za kuaminika ni kwamba Raila atajiapisha tarehe 12 December na mwandani wake kutoka nchi ya makinikia mfalme faru Joni atahudhuria kwenye sherehe iyoo.
Anavyopenda USA Raila na wao pamoja na kwenda kuwapigia magoti siku kumi bado wamesema anavunja katiba hawezi kuapishwaImekua mwendo wa vioja, mikwara na matamko na kubadilisha gia angani.
We are aware that this will be a disappointment to Kenyans, Nasa says as it cancels planned swearing in
Atajiapisha kuwa Rais wa BondoTaarifa za kuaminika ni kwamba Raila atajiapisha tarehe 12 December na mwandani wake kutoka nchi ya makinikia mfalme faru Joni atahudhuria kwenye sherehe iyoo.
naskia mara yke ya mwisho kuonekana alikua somalia.He said,"uhuru wll never be my president."ndio maanake ametowekaSammuel999 its time for peace now. You have been M.I.A for too long brother.
Hehehe, acha tu aisee siasa si mchezo bana.naskia mara yke ya mwisho kuonekana alikua somalia.He said,"uhuru wll never be my president."ndio maanake ametoweka
Acha ujingaUsimhusishe jpm kwenye maupumbafu
Eti kijana. Mtu mwenyewe rika ya Mugabe. Babuu.RAO acha kutuaibisha.
Pambana kijana hadi uapishwe.
Eti kijana. Mtu mwenyewe rika ya Mugabe. Babuu.
Kuna video flani hivi sijui ni nani huyo aliyemkabidhi Raila ng'ombe, pale makao ya chama chake Orange House. Sijui ilikuwa ni birthday yake. Raila aliposhika mkanda tu, ng'ombe akapandwa na mori akaanza kuruka juu na chini kwa fujo. Yaani RAO alivochana mbuga ilikuwa ni kama slowmotionX2. Mhenga huyo lakini hataki kujibeba kiheshima kama inavofaa kwa elder statesman kama yeye.Haaa haaa haaaa teeeh teeeeh teeeh
Ushauri anapata toka kwa swaiba wake Magufuli