Kiongozi Hezbollah, Nasrallah anawambia Israel: "Mnataka vita, anzisheni muone

mliwapongezaga hamas wakaponza sehemu za haja kubwa sasa mnawaba kiburi na hawa ili mseme free lebanon mjisikie vizuri vita sio kitu yakushabikia kabisa
 
Unapenda sana vita inaonekana.
Swali la kujiuliza,
Ina faida kwako kiroho?
Ina faida kwako kiuchum?
Ina faida kwako kijamii?
Ina faida kwako kitamaduni?
Waisrael wote wakifa utafaidika na nini?
Shida wabongo wanapenda kudandia vitu visivyowahusu, Mungu watu wa Tanzania hapa wameanza kushabikia hizi vita kwa kigezo cha Dini, mtu anayeelewa dini inataka nini hawezi kushabikia kuona binadam wenzake wanauwawa...
I sometimes fail to understand Human madness, Fools
 
"We are ready for all scenarios"-Hezbollah.
โšก๏ธHebrew newspaper "Haaretz": Do not believe Chief of Staff Herzi Halevi, he is living in La La Land. The "Israeli" army and "Israel" are not prepared for a real war in Lebanon, which could lead to massive destruction in the Galilee and missile and drone attacks on Haifa and central "Israel"
 
mliwapongezaga hamas wakaponza sehemu za haja kubwa sasa mnawaba kiburi na hawa ili mseme free lebanon mjisikie vizuri vita sio kitu yakushabikia kabisa
Mashoga utawajua tu sasa mambo ya haja kubwa yameinguaje? Wewe unawaza mavi tu muda wote.
 
Hizbullah sio Hamas.
Lebanon sio Gaza/Palestina.
Israel inatambua nguvu ya Hizbollah toka 2006,kwenye viunga vya bint jubeir maelfu ya askari wa IDF walizuiliwa na washika silaha wasiozidi 150.
Sasa wewe kaa jidanganye kuwa Israel ina uwezo wa kuipiga Hizbullah.
 
Hapo Hassan Nasrallah anatoa hotuba huku kajificha kwenye shimo kama PanyaBuku,Coward wahedi.Anajua muda wowote ataelekezwa Jongomeo kwa mabikra 72 kama mwenzake Imad Munigheri
1
Hizbullah sio Hamas.
Rejeeni 2006 Israel kilimkuta nini alipoingia kusini mwa Lebanon.
 
Hawa Waisrael wengi wa JF hawafahamu lolote kuhusu Lebanon, wakona Israel anavyozunguka na vifaru Gaza kurusha ndege anga ya Palestina wanadhani anaweza kufanya hivyo Lebanon๐Ÿ˜€
 
Hawa Waisrael wengi wa JF hawafahamu lolote kuhusu Lebanon, wakona Israel anavyozunguka na vifaru Gaza kurusha ndege anga ya Palestina wanadhani anaweza kufanya hivyo Lebanon๐Ÿ˜€
Aaab wew thubutuu.
Hao wenyewe Israel wanaelewa hizbullah ilivyo.
Kuna mpaka wa maji hapo ambao ulikua una rasilimali gesi na mafuta toka 2000 Israel waliukalia Hizbullah walitangaza hilo eneo hatokaa akachimba mafuta wala kuvuna gesi muisrael,mwaka huu mwanzoni ndio wakakubaliana wakawane mipaka.
Ingekua Gaza/Palestina Israel angekubali kugawana mipaka!?
Ila kwa Hizbullah kakubali.
Hilo eneo UN peace keepers wapo hadi sasa hivi.
 
Hezbollah, anataka vita kaona wanavyohangaika na Hamas ambao hawana silaha zozote mwezi wa 9 sasa hawajui mateka wao walipo.
 
We jamaa siku hizi unashabikia mambo yasiyo na maana.
 
Inaendeleqq.......
 
โšก๏ธโญ• Magari kadhaa ya kubebea wagonjwa na helikopta 3 zinasafirisha askari waliojeruhiwa katika shambulio dogo la mbinu la Hezbollah dhidi ya jeshi linalokalia kwa mabavu.

Shambulio hilo lililenga mahema ya kambi ya #Israeli iliyojengwa nyuma na karibu na barabara kuu na mali ya raia.

Athari ya moja kwa moja inaonekana


View: https://x.com/me_observer_/status/1798375334162661468?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
We jamaa siku hizi unashabikia mambo yasiyo na maana.
Wewe nani yangu unanipangia? Umekuwa mke wangu?

Nyie walokole uwa mapunguani sana yaani Israel kaishauwa watoto zaidi ya 15,000 mnashangilia mawabana zenu Israel.

Nampa lawama sana Aldof alirakiwa hawa wote hawatie kwenye gas chambers.
 
Kwa akili zako Iran anaweza kumu "warn USA?"
 
Wewe nani yangu unanipangia? Umekuwa mke wangu?

Nyie walokole uwa mapunguani sana yaani Israel kaishauwa watoto zaidi ya 15,000 mnashangilia mawabana zenu Israel.

Nampa lawama sana Aldof alirakiwa hawa wote hawatie kwenye gas chambers.
Yaani wewe muda wote unawaza vita tu, mara sijui Hitila, sijui mabwana zenu Israel...

Kama una hasira sana na wewe nenda kapigane huko Taleban. Umekaa kutetea waarabu tu utafikiri wamekuroga.
 
Watu wapuuzi kweli, yaan unashabikia vita?
 
Siyo kuipigania tu bali kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia
โšก๏ธ ๐Ÿšจ Hebrew websites:

The difficult event in Hurfish:
Two dead and 24 injured, including 5 in very critical condition and 3 in serious condition, after being targeted by a drone and missile from #Lebanon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ