Kiongozi Hezbollah, Nasrallah anawambia Israel: "Mnataka vita, anzisheni muone


View: https://www.instagram.com/reel/DAdeCa3in0F/?igsh=NzBlNWY0M3BrZGN0
 
Wanaukumbi.
Wakati huo huo, kiongozi wa Hezbollah, Nasrallah alisema: "Mnataka vita, anzisha."

Hezbollah, baada ya kutambua udhaifu wa IDF, ambayo baada ya miezi 7 karibu haikupata mafanikio yoyote.

Kweli siku hazingandi.
 
Bado unaamini huu upumbavu?
 
Maskini Ritz, si uwaombe moderators wauondoe huu uzi?
 
Kifo ni ushidi tofauti na wagalatia na Israel wao wanaona kufa no adhabu.

Hezbollah na Hamas wasisi wate walishakufa miaka mingi lakini mapambono yanaendelea mpaka leo.
 
Hapo Hassan Nasrallah anatoa hotuba huku kajificha kwenye shimo kama PanyaBuku,Coward wahedi.Anajua muda wowote ataelekezwa Jongomeo kwa mabikra 72 kama mwenzake Imad Munigheri
1
Tayari huko anajisevia Mabikira.
 
Kifo ni ushidi tofauti na wagalatia na Israel wao wanaona kufa no adhabu.

Hezbollah na Hamas wasisi wate walishakufa miaka mingi lakini mapambono yanaendelea mpaka leo.
Pole sana ustaadh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…