Kiongozi (mkuu) wa chama ACT ni nani sasa hivi?

Kiongozi (mkuu) wa chama ACT ni nani sasa hivi?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kiongozi (mkuu) wa chama ACT wa sasa anaitwa nani?

Tangu kuondoka kwa Zitto Kabwe kama kiongozi wa ACT sijawahi kumjua au kumsikia kiongozi wa hiko chama tena, sioni hata akihojiwa au akinukuliwa na vyombo vikubwa vya habari kama BBC na DW.
 
Samia anaongoza hicho chama kwa remote control
 
Back
Top Bottom