Kiongozi mwema Sayyid Khalifa bin Haroub 1879 - 1960

Ndo maana mnafeli sana mitihani ya NECTA. Haya mambo hayaki hasira !!!

Yes ..ni kweli wanafeli...haya ni matokeo ya Mapinduzi yalo inyanganya znz uhuru wake . ukoloni maisha hawataki muelimike.
enzi za Seyyid Khalifa hakuna kufeli na tulijaz Makerere na University za Nje....
 
Sikusema chochote kuhusu mzungu infact ndiyo watu ninaowachukia to thé max
Basi kumbe unalo jibu hata wewe muafrika unawachukia wazungu. Unaweza usikubaliane na watu wengine kwa matendo yao lakini sio kuwachukia. Ni ushauri tu mkuu



Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Amin
 
Sahim1,
Utafanyaje mjadala ikiwa hata somo lenyewe hulijui?

Sayyid Khalifa katawala kutoka 1911 - 1960.
Hujui siasa za vyama vilianza lini Zanzibar?

Kasome kwanza historia ya Zanzibar ndipo urejee hapa kwenye mjadala.
Mjadala pia ni darsa mzee muhamed.
Mjadala pia ni fursa ya kujua usio yajua.
 
Mjadala pia ni darsa mzee muhamed.
Mjadala pia ni fursa ya kujua usio yajua.
Sahim1,
Uliyosema ni kweli lakini ili pawepo na mjadala ni lazima
pande mbili zinazofanya mjadala zikawa zote wanauelewa
wa hicho wanachojadili.

Vinginevyo utakuwa mjadala wa viziwi.
 
Sahim1,
Uliyosema ni kweli lakini ili pawepo na mjadala ni lazima
pande mbili zinazofanya mjadala zikawa zote wanauelewa
wa hicho wanachojadili.

Vinginevyo utakuwa mjadala wa viziwi.
Mzee muhamed swali langu linatokana na maelezo yako ya awali huko mwazo mwa post hii.
Nanukuu...Alipo kuwa uingereza aliulizwa..
"Je nchini kwako kuna siasa za vyama vingi vinavyoshindana huenda wale wakagombana wasiwafikiane? Mwisho wa kunukuu.
Ndio maana nikakuliza swali lile,
 
Sahim1,
Ikiwa ni hivyo iweje na wewe kuuliza swali hilo hilo?
 
Bullshit
 
Siamin katika "Ukipigwa ubavu wa kushoto mpe na la kulia...
 
Sahim1,
Ikiwa ni hivyo iweje na wewe kuuliza swali hilo hilo?
Nia yangu nikujua sio ushindani lakini nahisi ww unadhani mm nahitaji ushindani.
Basi mm nimefikia mwisho mzee wangu.
Nimetosheka na majibu yako jazaak lkheir..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…