Ndg Figakei Magodoro ambae ni kiongoz wa wafugaji, ameamua kwa hiari yake kuhama kwenye pori la hifadhi tengefu na kujiunga na Chuo Cha Mafunzo- Iringa Veta (CCM-Iringa Veta)
Kwa kheri zake na karibishwa zake pia. Ole ni afike akute sio kweli huko na sio kwema. Atalia kilio cha mbwa kidomo juu. CCMM tiyari kumejaa mapandikizi