Pre GE2025 Kiongozi wa CHADEMA anadai hakutakuwepo na uchaguzi mkuu Oktoba, ingawa ni wazi atachukua fomu ya kugombea Urais

Pre GE2025 Kiongozi wa CHADEMA anadai hakutakuwepo na uchaguzi mkuu Oktoba, ingawa ni wazi atachukua fomu ya kugombea Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kama sio hadaa na utapeli wa kisiasa kwa wanachama weke ni nini?

Maana ni wazi ndugu zangu kwamba, kama yeye kwa ubinafsi wake amepima na kujitathmini kwamba kwa nafasi anayotarajia kugombea atashindwa uchaguzi huo vibaya sana,

Yanini sasa kuwaburuza wagombeaji wa nafasi zingine mathalani za ubunge au udiwani wasalimu amri ya kushindwa vibaya uchaguzi huo kama yeye?

Kusitasita maana yake kutokujiamini na kutokua na uhakika wa hata unafanya nini kwa manufaa gani na unaelekea wapi kisiasa.

Uongozi mpya wa chadema Taifa umepoteza kabisa uelekeo kwani tayari baadhi ya makada wake kadhaa wameapa kugombea ubunge na udiwani maeneo mbalimbali nchini, wakionyesha wazi kwamba no reform no elections ni scam.

Makamanda hao wamekataa kupotezewa malengo yao ya kisiasa na kuburuzwa na mtu mbinafsi asie aminika na asie na malengo wala maono ya ya athari za uamuzi wake wa kujitenga na mchakato wa jumla wa kitaifa wa kidemokrasi.

Hii chadema ya staki nataka, chini ya uongozi mpya ni nyanya kabisa kwenye ramani ya siasa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Lisu ana utoto Mwingi atawashangaza mwishoni kwa kubadili.kauli

Hakuna mtu ndumila kuwili kama Lisu ni mtu asiyejielewa pekee ndie aweza mtilia maanani anachoongea
 
Lisu ana utoto Mwingi atawashangaza mwishoni kwa kubadili.kauli

Hakuna mtu ndumila kuwili kama Lisu ni mtu asiyejielewa pekee ndie aweza mtilia maanani anachoongea
halafu atakuja kulalamika ati ameibiwa kura wakati hana hizo kura na alidai hapatakua na uchaguzi kama walivyofanya serikali za mitaa,

wanahamasishana wasijiandikishe halafu mwisho wa siku wanakataa matoke ya uchaguzi :pedroP:
 
Naona Lumumba kumekucha
kiongozi anawapumbaza na kuwahadaa wananchama wa chama chake kwamba hakuna uchaguzi halafu muda ukifika anachukua fomu ya kugombea urais anaitwaje kisayansi katika siasa?:pedroP:
 
Sahivi mnaimba wimbo mmoja tu no reform no election wajinga wakubwa nyie
waliopumbazwa na kutapeliwa na kibaka wa siasa watabainika wazi october 2025, kwa kibaka mkuu wa siasa kuchukua fomu na kugombea uongozi kwenye uchaguzi huo huku watapeliwa wakiwa wameng'aa macho tu :pedroP:
 
waliopumbazwa na kutapeliwa na kibaka wa siasa watabainika wazi october 2025, kwa kibaka mkuu wa siasa kuchukua fomu na kugombea uongozi kwenye uchaguzi huo :pedroP:
Mjinga mkubwa wewe, unanufaika na nini na utapeli wa CCM? unasubiri uteuliwe uibe mali za umma ndiyo akili yako ya kijinga inawaza hivyo.
 
Mjinga mkubwa wewe, unanufaika na nini na utapeli wa CCM? unasubiri uteuliwe uibe mali za umma ndiyo akili yako ya kijinga inawaza hivyo.
mtu mzima mwenye akili timamu unarubuni uhuru na haki yako ya kikatiba ya kupiga kura na tapeli na kibaka wa kisiasa halafu unajiona uko sawa mentally kweli gentleman? :pedroP:
 
mtu mzima mwenye akili timamu unarubuni uhuru na haki yako ya kikatiba ya kupiga kura na tapeli na kibaka wa kisiasa halafu unajiona uko sawa mentally kweli gentleman? :pedroP:
Shetani mkubwa wewe, hapo kuna kupiga kura au tayari matokeo mnayo? wewe nakuuliza unanufaika na nini na utapeli wa CCM? huna akili kabisa unaishi kwa hisani ya Rais badala ya sheria, katiba, kanuni na taratibu za nchi.
 
Shetani mkubwa wewe, hapo kuna kupiga kura au tayari matokeo mnayo? wewe nakuuliza unanufaika na nini na utapeli wa CCM? huna akili kabisa unaishi kwa hisani ya Rais badala ya sheria, katiba, kanuni na taratibu za nchi.
sheatani na tapeli wa kisiasa ni huyo anae wahadaa ninyi watu wazima ati hakuna uchaguzi halafu yeye anagombea uchaguzi huo huo anaoesema haupo :pedroP:

uchaguzi wa Tanzania unafanyaika kwa mujibu wa katiba ya nchi na siao kwa kufuata mayowe au makelele na kubwekabweka kwa kibaka au tapeli wa siasa yeyote wa siasa nchini:pedroP:
 
sheatani na tapeli wa kisiasa ni huyo anae wahadaa ninyi watu wazima ati hakuna uchaguzi halafu yeye anagombea uchaguzi huo huo anaoesema haupo :pedroP:

uchaguzi wa Tanzania unafanyaika kwa mujibu wa katiba ya nchi na siao kwa kufuata mayowe au makelele na kubwekabweka kwa kibaka au tapeli wa siasa yeyote wa siasa nchini:pedroP:
Taja manufaa uliyoyapata kutokana na utapeli wa CCM, huelewi kiswahili ama?
 
Taja manufaa uliyoyapata kutokana na utapeli wa CCM, huelewi kiswahili ama?
nasikitika kuna vijana wakikubali kutapeliwa pesa, uhuru na haki zao za kikatiba na kibaka wa siasa mwenye uraia na uzalendo wenye mashaka na anaefadhiliwa na mabwenyenye ya magharibi,

inafedhehesha sana na inasikitisha sana :NoGodNo:
 
waliopumbazwa na kutapeliwa na kibaka wa siasa watabainika wazi october 2025, kwa kibaka mkuu wa siasa kuchukua fomu na kugombea uongozi kwenye uchaguzi huo huku watapeliwa wakiwa wameng'aa macho tu :pedroP:
Tlaatilaah, bado unaendeleza ubabaishaji? Nani kakwambia kwa mazingira yaliyopo Kuna kitu kinaitwa uchaguzi? Wapinzani watakaoingia kwenye kinyang'anyiro sana sana kwa CCM kuona aibu kupitia kwa kile mnachokiita tume ya uchaguzi itawapa majimbo fulani fulani watakayoyapanga wao ili kuonyesha jumuhia ya kimataifa kuwa kuna kitu kinaitwa uchaguzi
kilifanyika.
 
Kama sio hadaa na utapeli wa kisiasa kwa wanachama weke ni nini?

Maana ni wazi ndugu zangu kwamba, kama yeye kwa ubinafsi wake amepima na kujitathmini kwamba kwa nafasi anayotarajia kugombea atashindwa uchaguzi huo vibaya sana,

Yanini sasa kuwaburuza wagombeaji wa nafasi zingine mathalani za ubunge au udiwani wasalimu amri ya kushindwa vibaya uchaguzi huo kama yeye?

Kusitasita maana yake kutokujiamini na kutokua na uhakika wa hata unafanya nini kwa manufaa gani na unaelekea wapi kisiasa.

Uongozi mpya wa chadema Taifa umepoteza kabisa uelekeo kwani tayari baadhi ya makada wake kadhaa wameapa kugombea ubunge na udiwani maeneo mbalimbali nchini, wakionyesha wazi kwamba no reform no elections ni scam.

Makamanda hao wamekataa kupotezewa malengo yao ya kisiasa na kuburuzwa na mtu mbinafsi asie aminika na asie na malengo wala maono ya ya athari za uamuzi wake wa kujitenga na mchakato wa jumla wa kitaifa wa kidemokrasi.

Hii chadema ya staki nataka, chini ya uongozi mpya ni nyanya kabisa kwenye ramani ya siasa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Jaribu kutumia akili Yako mwenyewe japo kwa siku Moja tu. Kwani kama uchaguzi hautakuwepo Oct. Hautakuwepo Milele? Si baada ya Refoms si uchaguzi utafanyika?
 
Tlaatilaah, bado unaendeleza ubabaishaji? Nani kakwambia kwa mazingira yaliyopo Kuna kitu kinaitwa uchaguzi? Wapinzani watakaoingia kwenye kinyang'anyiro sana sana kwa CCM kuona aibu kupitia kwa kile mnachokiita tume ya uchaguzi itawapa majimbo fulani fulani watakayoyapanga wao ili kuonyesha jumuhia ya kimataifa kuwa kuna kitu kinaitwa uchaguzi
kilifanyika.
gentleman,
uchaguzi mkuu wa Tanzania utafanyika baadae october mwaka huu2025 kwa mujibu wa katiba ya nchi, sio kwa sababu ya maoni au mtazamo wako, pamoja na mayowe na makelele ya matapeli na vibaka wengine wa kisiasa nchini :NoGodNo:
 
Jaribu kutumia akili Yako mwenyewe japo kwa siku Moja tu. Kwani kama uchaguzi hautakuwepo Oct. Hautakuwepo Milele? Si baada ya Refoms si uchaguzi utafanyika?
hakuna aya, nukta wala koma ya sheria au katiba ya nchi kuhusu uchaguzi itabadilishwa na uchaguzi utafanyika kwa mujibu wa katiba ya nchi, mapema october mwaka huu2025, bila kujali mayowe, makelele na mdomo wa matapeli wa kisiasa nchini:NoGodNo:
 
Back
Top Bottom