nasikitika kuna vijana wakikubali kutapeliwa pesa, uhuru na haki zao za kikatiba na kibaka wa siasa mwenye uraia na uzalendo wenye mashaka na anaefadhiliwa na mabwenyenye ya magharibi,
Watu wa Dar, zoezi la kuandikisha na kuboresha daftari la wapiga kura linaanza tarhe 17/03.
Shime usiache kikiandikisha wewe uliyefikisha umri stahili.
Uchaguzi Mkuu mwaka huu upo na utafanyika mwezi Oktober tarehe 25.