Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kw msaada wako,,kuna mjitu humu,ikishajua tu kusoma na kuandika tayari,hawajishughurishi kbs na kuutafuta ukweli ni upi? Israel sio taifa la kjkristu,na wakristu mle wabachukiwa sana,pamoja na wa ethodox hawatakiwi kbs na mayahudi.usijipe ujiko bure hao wakristo hawapendwi zaidi na mayahudi hata kuliko waislamu.
Ati wamekutana kuisaka damu ya kiyahudi na kikristu........ kha!
Irani na hizbollah si ndio walewale mbwa Koko kubweka ndani ya geti. Hamna kitu watafanyaWacha unafik na uongo.
Uongo unakusaidia nini? Wakristo inawahusu nini kuuliwa wakati wao wenyewe wanauliwa na wayahudi huko Ghaza na Lebanon?
Myahudi akimuona Mkristo anamtemea makohozi ya uso, unalielewa hilo?
ndio maana wayaudi wameunda vikunfi vya kigaidi baran afrika kuua wakristu?usijipe ujiko bure hao wakristo hawapendwi zaidi na mayahudi hata kuliko waislamu.
Ati wamekutana kuisaka damu ya kiyahudi na kikristu........ kha!
Halafu cha kushangaza hawana Sijdah. Lakini mijitu mieusii tii kama tako la iddi Amin kina adriz ina sijdah na inaonekana licha ya uesi wao.Jamaa anaishi maisha ya kitajiri huku wenzake wanakufa Kwa mabomu
Mbona hata Netanyau yuko Tel aviv kwenye nyumba ya kufahari na watoto wake wakati watoto wa waisrael wengine wapo gaza wapigana vita na kuuwa na kutiwa vilema, hao ndio wana siasa.Jamaa anaishi maisha ya kitajiri huku wenzake wanakufa Kwa mabomu
Wacha unafik na uongo.
Uongo unakusaidia nini? Wakristo inawahusu nini kuuliwa wakati wao wenyewe wanauliwa na wayahudi huko Ghaza na Lebanon?
Myahudi akimuona Mkristo anamtemea makohozi ya uso, unalielewa hilo?
Waarabu wenyewe wanaiandika Gaza,wewe mmatumbi hili neno 'Ghaza' unalitoa wapi au wewe ni zaidi ya wenye lugha yao?Wacha unafik na uongo.
Uongo unakusaidia nini? Wakristo inawahusu nini kuuliwa wakati wao wenyewe wanauliwa na wayahudi huko Ghaza na Lebanon?
Myahudi akimuona Mkristo anamtemea makohozi ya uso, unalielewa hilo?
Tulia magaidi yashughulikiwe! Mbona unawayawaya bibi?
Kiarabu unajuwa? Hebu andika tuone.Waarabu wenyewe wanaiandika Gaza,wewe mmatumbi hili neno 'Ghaza' unalitoa wapi au wewe ni zaidi ya wenye lugha yao?
Ndiyo maana mjadala wa report ya CAG unakosa nguvu kwasababu ya hiyo vitaMnama hii nchi yetu ina matatizo makubwa mno naomba tujadiliane ya kwetu. Bandari tushapigwa,tunadeni linalozidi kukua kama kuku wa broiler, report ya CAG nk nk plz.
Tulia magaidi yashughulikiwe! Mbona unawayawaya bibi?