Bila kusahau hata Watz wanaenda hio SA omba omba tu.Naona hiyo singo ya ombaomba mmeikamata kweli kweli. Sawa hao wachache wametuharibia sifa. Kumbuka pia hao wahabeshi huko South Africa hawendi kutalii ni shida zinawapeleka. Ujuwe hilo
Hayo ni maoni yangu. Kuna Wakenya bado wanampenda Ruto lakini wengi wameanza kumuogopa. Mimi mwenyewe sijawahi penda huyo jamaa kutoka kitambo.
Hivi ninyi majambazi yenu yamejaa katika magereza ya Tanzania, na wengine wameuliwa, mbona hatuwasumbui?, ombaomba na jambazi, kipi ni kibaya?, majizi na majambazi wakubwa ninyi, ndio sababu hatutaki kuwaruhusu kuja bila Passport.Bila kusahau hata Watz wanaenda hio SA omba omba tu.
Hivi ninyi majambazi yenu yamejaa katika magereza ya Tanzania, na wengine wameuliwa, mbona hatuwasumbui?, ombaomba na jambazi, kipi ni kibaya?, majizi na majambazi wakubwa ninyi, ndio sababu hatutaki kuwaruhusu kuja bila Passport.
"Kenya haitorudi tena barabarani"...."matatizo yatazidi kuongezeka" ......."mtapiga kelele na kulaumiana lakini hakuna jipya".
Majirani zetu, lazima mkubaliane na ukweli kwamba, mzee Jommo Kenyatta aliwapoteza sana pale alipoamua kufuata siasa za ubepari zilizozidisha Ukabila. Matatizo yote yanayoikumba Kenya chanzo chake ni hicho.
Kenya haitokaa irudi tena barabarani, haya matatizo yatazidi kuongezeka siku hadi siku, mtapiga kelele na kulaumiana lakini hakuna jipya.
R.I.P. Nyerere, tunaona matunda ya ulichokua unapigania, hukuthamini viwanda vya "tooth paste" na sabuni, badala yake ulijenga misingi ya "Utu", umoja na mshIkamano, kupendana na kuthaminiana, kwamba hakuna mtu, dini wala kabila lililo bora zaidi ya wengine.
Hahahaha, endeleeni na kiburi chenu muone jinsi jumba bovu linavyoendelea kuwavunjikia, tayari nchi yenu imeshatoka barabari inaelekea kusikojulikana.Anawavisha watanzania kilemba cha ukoka.
Your wishesBila kusahau hata Watz wanaenda hio SA omba omba tu.
Kama si Nyerere Tz ingekuwa ilipiku Kenya miaka ya 70. Thanks to Kenyatta Sasa tunaongoza Ukanda wa East and Central Africa tukifuatwa na Ethiopia, Namba 3 wanajijua na ndio walioanzisha Uzi huu
Hiyo haiwezekani. Naibu wa rais ni kama tu rais kwa hivyo hawezi kamatwa.Kama ni mwizi mbona hajapelekwa mahakamani?
Maana DPP wenu mnamsifia sana.
Tony254, Kenya yote imeoza sio Rutto pekee, angalia hii.Hiyo haiwezekani. Naibu wa rais ni kama tu rais kwa hivyo hawezi kamatwa.
Ni kweliTony254, Kenya yote imeoza sio Rutto pekee, angalia hii.
Hakuna sifa wametuharibia hao ombaomba watz kama wapo Kenya watakuwa wameenda nchi sahihi kuombaomba Kwa sababu kuu MbiliNaona hiyo singo ya ombaomba mmeikamata kweli kweli. Sawa hao wachache wametuharibia sifa. Kumbuka pia hao wahabeshi huko South Africa hawendi kutalii ni shida zinawapeleka. Ujuwe hilo
Hakuna sifa wametuharibia hao ombaomba watz kama wapo Kenya watakuwa wameenda nchi sahihi kuombaomba Kwa sababu kuu MbiliVile vile omba omba wenu wamejaa kila Kona ya Miji yote ya Kenya wakizungusha vibakuli.
Usisahau Hawa Wahabeshi hawaji Tz kutafuta ajira au maisha mazuri(Tz ni maskini tu hata kuishinda Uhabeshi) ila wanapitia tu Kama vile watapitia Zambia,Malawi na Zimbabwe kuelekea SA.
What is way forward for Kenya?, any idea?.Ni kweli