Aise asikwambie mtu kamanda, Tz kwa nchi zetu kiafrica na some asians, tunajitahidi sanaa, achana na hizi takwimu uchwara za kimagharibi, nimejionea.Hii ni kudhihirisha kwamba "we are getting development in every sector "
Hizo zishazimwa mkuu, panya road kitambo walifutwa, hao teleza wamezimwa juzi juzi hapa, bongo tupo vizuri sana kiusalama. Trust me.Uko Tz ma gangs za uko kazi zao si juu ya kutelezesha wanawake tu?? Na kunjiitanga ati Panya road?? Akuna paali haiko gangs
Ma gang za uko kazi zao kubwa ni kuamsha hadi bunge yenyu. Hakuna mjadala tena bali kusemea wake zao wasijekuzaa toto tundu
Aisee hako ka tobo ndipo risasi ilipo penya?That's the guy. Dula.View attachment 1123763
Eti!Aisee hako ka tobo ndipo risasi ilipo penya?
Vitoto ya miaka 7 - 12 IGP anatokelesea na mambunduki ake.Mimi ni mtanzania ila nakili kuwa gang zipo , panyaroad tu wakiamsha moto adi IGP anatoa tamko.
Hao teleza walizimwa kwa Ninja kusema bungeni kuwa hana habari na wanaobakwa au?? Mbona Zitto alilia bunge la bajeti au alitaka posho yake ya siku. Acha utani, nena Kibiti uka biti huko maneno haya uoneHizo zishazimwa mkuu, panya road kitambo walifutwa, hao teleza wamezimwa juzi juzi hapa, bongo tupo vizuri sana kiusalama. Trust me.
That's the guy. Dula.View attachment 1123763
Uchochoro.Panyarodi ni nini?
Hahahaha Acha ufala mkuu ,utarembuaje kwenye kifo?.Chalii mrembo kabisa hadi kwenye kifo karembua anakuwaje kiongozi wa kundi katili ?
Duh! Kwani huko mnawaoa waume wenzio?.Huku Tanzania angekuwa mke wa mtu kwa huo urembo
Usione chui kanyeshewa ukaliita paka.Mtoto yuko soft sana.uyo wananchi ata watano wangemtosha.
Aliuliwa Kwa risasi sio Kwa panga,uliona cream usoni mwake?.Kiongozi wa gang anapakaa na cream usoni.maajabu kidogo.hana hata alama ya panga usoni
Aliuliwa Kwa risasi sio Kwa panga,uliona cream usoni mwake?.
Hahaha kiswahili ni kizuri Sana! Mkuu wakati wa kuiongelea Kenya kwa sifa ni kuandika kimalkia na kiswahili kwa mbali.acha uongo wewe,
umesahau hapa juzi kati huko kigoma kuna kikundi cha watu wanaojiita teleza wakituhumiwa kubaka akina mama?.
Siku hizi watu wanaongoza makundi kijanja ukijionesha si utauwawa tu,pia wanaojieka alama ni wale wa kundi la Gaza ,alama zao ni tattoo na kuvaa chain kibao na Wana Meno ya Shaba.sisi huku kwetu bongo kiongozi wa panya road lazima ana alama alama hivi uson kuqshiria kwamba ni mtu wa purukushani.
sasa huko kwenu kiongoU wa waharifu ni beautiful /soft face