Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao wanawafuatilia Chadema tuu
Wewe usije kuwajaza wakadhani ni kweli wakija kuvuka red line usije ukaja humu kuanza kulilia haki za binadamu. Serikali haishindwi kitu ila siasa ina nafasi yake...halafu Wamaasai walipiga mkwara Polisi wote wakanywea.
..Makonda, na kimbelembele chake, alijificha kwa siku tatu, na alipotokea alikuwa mpole.
Hawana lolote wanaloliweza labda kuhakikisha wanawadhibiti chadema wasifanye shughuki zao kikatiba...Kiongozi wa haya maandamano ni nani?
..Polisi na Intelijensia walishindwa vipi kuyazuia kabla hayajaanza?
..Kama wameshindwa kugundua maandamano makubwa kama haya, tuna uhakika gani na taarifa za kiintelijensia wanazodai kuwa wanazo?
Swali umelielewa?Wewe usije kuwajaza wakadhani ni kweli wakija kuvuka red line usije ukaja humu kuanza kulilia haki za binadamu. Serikali haishindwi kitu ila siasa ina nafasi yake.
Hii ndio point ya msingi..Polisi wa kawaida wa kabila jingine asingeweza ku infiltrate jamii ya kimasai na kuchukua habari lakini pia hata polisi toka jamii ya kimasai asingeweza kufanya huo ujinga, maana wamasai wakiwa jandoni wanapewa kula kiapo Cha kutomsaliti mmasai mwenzake hata apewe kitu gani. Na angetokea msaliti wa kimasai Basi karma ingeanza na yeye.
Ungekuwa askari ungeua watu wengi sana, unaonesha haupendi watu wadai haki zao wanapoona wanaonewa...Kiongozi wa haya maandamano ni nani?
..Polisi na Intelijensia walishindwa vipi kuyazuia kabla hayajaanza?
..Kama wameshindwa kugundua maandamano makubwa kama haya, tuna uhakika gani na taarifa za kiintelijensia wanazodai kuwa wanazo?
Usitishe watu bhana. Serikali imewekwa na wananchi. Wananchi ndio waajiri wa viongozi wote wa serikali. Wananchi Wana haki ya kupigania haki zao pale wanapoona zinapindishwa.Wewe usije kuwajaza wakadhani ni kweli wakija kuvuka red line usije ukaja humu kuanza kulilia haki za binadamu. Serikali haishindwi kitu ila siasa ina nafasi yake.
Ila wamaasai kama Fred Lowassa sio wa kuamini maana hao hawakwenda jandoni bali walifyekewa Agha Khan hospital na ndio maana pamoja na ubinge wao kwa jamii ya wamaasai hawatii Neno kuteteaPolisi wa kawaida wa kabila jingine asingeweza ku infiltrate jamii ya kimasai na kuchukua habari lakini pia hata polisi toka jamii ya kimasai asingeweza kufanya huo ujinga, maana wamasai wakiwa jandoni wanapewa kula kiapo Cha kutomsaliti mmasai mwenzake hata apewe kitu gani. Na angetokea msaliti wa kimasai Basi karma ingeanza na yeye.
Huyu jamaa ni mhuni tu, anasema serikali haijawahi kushindwa anasahau Nchi kibao serikali zilishaanguka.Usitishe watu bhana. Serikali imewekwa na wananchi. Wananchi ndio waajiri wa viongozi wote wa serikali. Wananchi Wana haki ya kupigania haki zao pale wanapoona zinapindishwa.
Wewe endelea na ngonjera hizo wewe ndio umeajiri basi ungejiajiri mwenyewe. Nenda barabarani na kumbuka kuwaambia mimi ndio nimewajiri watakuomba uwaongezee mshahara.Usitishe watu bhana. Serikali imewekwa na wananchi. Wananchi ndio waajiri wa viongozi wote wa serikali. Wananchi Wana haki ya kupigania haki zao pale wanapoona zinapindishwa.
Kwahiyo unaona ni sawa watu kukatiwa huduma zote za kijamii , jifanye ungekuwa huko . Usingeandika hiki ulichoweka hapaKiongozi wa haya maandamano ni nani?
Polisi na Intelijensia walishindwa vipi kuyazuia kabla hayajaanza?
Kama wameshindwa kugundua maandamano makubwa kama haya, tuna uhakika gani na taarifa za kiintelijensia wanazodai kuwa wanazo?
Kiongozi wa haya maandamano ni nani?
Polisi na Intelijensia walishindwa vipi kuyazuia kabla hayajaanza?
Kama wameshindwa kugundua maandamano makubwa kama haya, tuna uhakika gani na taarifa za kiintelijensia wanazodai kuwa wanazo?
Kiongozi wa haya maandamano ni nani?
Polisi na Intelijensia walishindwa vipi kuyazuia kabla hayajaanza?
Kama wameshindwa kugundua maandamano makubwa kama haya, tuna uhakika gani na taarifa za kiintelijensia wanazodai kuwa wanazo?
Ni KWELI kabisa, shida ndiyo imewaunganisha Wamasai.Kukiwa na sababu inayowaunganisha wote, mgomo na maandamano hulipuka bila kiongozi.