Kiongozi wa mbio za Mwenge Cde. Mzava amkabidhi Rais ripoti ya miradi 16 iliyotafunwa fedha. Hivi ripoti ya kifo cha Kibao alishakabidhiwa?

Kiongozi wa mbio za Mwenge Cde. Mzava amkabidhi Rais ripoti ya miradi 16 iliyotafunwa fedha. Hivi ripoti ya kifo cha Kibao alishakabidhiwa?

TRAT

Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
73
Reaction score
160
Watu bado wanatafuna pesa tu za serikali? Posho zimerudi, semina zimerudi, Shimiwi imerudi, washa zimerudi, mikutano imerudi, kongomano zimerudi, overtime zimerudi, fulana na kofia za semina wanavaa, kule Morogoro jioni baada ya semina wanakesha Star Park, Terminal Pub na Samakisamaki siku hizi, lakini haziwatoshi bado wanatafuna pesa za miradi.

Wanahaki ya kupromoti "Mitano tena Kwa mama". Mchawi ni umri tu wa kustaafu.
 
Muda wa ukomo haukutajwa.
NB:Tunategea na ku-buy buy time ili msahau.Afutaroo,kifo ni kifo tu.
 
CCM ni kama kundi la "Stand Up Comedian".

Yaani hao wakimbiza mwenge ndiyo wana mbinu zaidi ya TAKUKURU, Polisi au usalama wa Taifa?

CCM imejaza watu wake tokea Kitongoji, Kijiji,mtaa, Kata,Jimbo,Halmashauri zote za miji midogo, miji, Manispaa na Majiji na wanajifanya "Kuna watu" wanaokula fedha za umma.

Nje ya CCM ni nani wengine wanaokula hela za watanzania?
 
Watu bado wanatafuna pesa tu za serikali? Posho zimerudi, semina zimerudi, Shimiwi imerudi, washa zimerudi, mikutano imerudi, kongomano zimerudi, overtime zimerudi, fulana na kofia za semina wanavaa, kule Morogoro jioni baada ya semina wanakesha Star Park, Terminal Pub na Samakisamaki siku hizi. Lakini haziwatoshi bado wanatafuna pesa za miradi. Wanahaki ya kupromoti "Mitano tena Kwa mama". Mchawi ni umri tu wa kustaafu.
Ni vyema ikafanyiwa kazi kwa haraka Sana.

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
Back
Top Bottom