Kiongozi yeyote serikalini akisoma azimio la Arusha, ni either ajiuzulu kutokana na dhambi anazowafanyia Watanzania

Kiongozi yeyote serikalini akisoma azimio la Arusha, ni either ajiuzulu kutokana na dhambi anazowafanyia Watanzania

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Nadhani ni muda muafaka wa kusambaza kwa nguvu zote ujumbe uliopo kwenye AZIMIO LA ARUSHA.

Hii document imezikwa ili Watanzania waendelee kutawaliwa na walafi wachache.

Nakushauri ukiwa unasoma Azimio la Arusha, weka sauti ya ukali kidogo 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom