(KIONJO) Diamond Ft Neyo: Hakika hii ndio nyimbo

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Kwa waliona jana Show ya Mwanza ya Neyo na Diamond watakuwa walisikia ule wimbo mpya wa Diamond aliomshirikisha Neyo, bila unafiki ile nyimbo ni kali na am sure wamarekani wataipiga sana ile nyimbo kwenye Stations zao kwani Neyo kaimba kwa hisia sipati picha video itakuwaje lakini kwa nyimbo ile shikamoo Diamond.



Wimbo huo unaitwa I will Marry You na utatoka muda si mrefu..
 
Weka jamvini tuiskie ila Jana nilikuwa jembe ni jembe festival alivyopanda stegin akamwita diamond waliimba pale kwa stage ebana ilikuwa hatar bonge la ngoma wish wimbo huu diamond utamfikisha mbali kimataifa and I wish hii nomination aliyoipata BET award anaweza kuibeba.
Ila neyo ni mbonge la msanii sikutegemea show kama angeivuruga kiasi kile du!wenzetu wametuzidi Sana tukija kufika level hizi....
 

Wamarekani wataipiga sana hiyo ngoma kwenye redio zao?

Wamarekani unawajua unawasikia...?
 
Mm nilibatika kumuona Hyatt regency pale club rouge so nahamin waliogalia show yake wameenjoy sana mwz
 
Hiyo nyimbo aliyo imba baada ya kumwita Diamond ndo ngoma yenyewee hiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…