Juan Pablo
New Member
- Nov 1, 2018
- 3
- 3
Natafuta mtu anayeweza kuniuzia kioo cha Samsung S8+ nna 230k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi simu pasua kichwa Kweli, mimi ninayo Samsung S9+ imekuwa mtiani kioo, nimeitupa tu ndaniNatafuta mtu anayeweza kuniuzia kioo cha Samsung S8+ nna 230k
Tupo wengiNatafuta mtu anayeweza kuniuzia kioo cha Samsung S8+ nna 230k
Usihofu mkuu, ninavyo vingiHizi simu pasua kichwa Kweli, mimi ninayo Samsung S9+ imekuwa mtiani kioo, nimeitupa tu ndani
Kioo full Cha Sam S8+ inapatikana, ila Bei yake Ni 480,000Natafuta mtu anayeweza kuniuzia kioo cha Samsung S8+ nna 230k
Hahahah hio bei si bora ununue simu mpya tu kuliko kuhangaika na simu ambayo imetiwa vidole na fundi Chandimu.Kioo full Cha Sam S8+ inapatikana, ila Bei yake Ni 480,000
Sasa bei ya kioo ni 1/2 ya bei ya simu ikiwa mpya, whats the logic? Haya masimu ya Samsung kero yake ni hapo tu.
Kioo ndo SIMU yenyewe mkuuSasa bei ya kioo ni 1/2 ya bei ya simu ikiwa mpya, whats the logic? Haya masimu ya Samsung kero yake ni hapo tu.
Samsung spea zake zimechangamka mkuu.Sasa bei ya kioo ni 1/2 ya bei ya simu ikiwa mpya, whats the logic? Haya masimu ya Samsung kero yake ni hapo tu.
Mkuu cha s20+ ntapata? Kwa bei gani?