Unatafta ugomvi kwa nguvuWewe GENTAMYCINE njoo huku ujifunze watu wanavyoweza kujenga hoja,siyo matusi wala kebehi!.
Huyu NALIA NGWENA kila mtu anajua ni shabiki wa timu gani,lakini namna alivyojenga hoja kila mtu anatamani kuchangia!
Njoo ujifunze namna ya kujenga hoja na si kujenga ushambenga!
Kwani yule Abel ana tatizo gani, kwanini asipewe nafasi?Tuweke ushabiki. Pembeni, Ally Salim bado hajakomaa kudaka mechi kubwa Kama Simba watakosea kumpanga derby ataleta kilio kikubwa
WANAJUANA HAO.Unatafta ugomvi kwa nguvu
What a combination!!Victor Valdez, Fabian Bartez
NAKAZIAAAA.Ally Salim kinachomgharimu pia ni Mamlaka akiwa langoni ambayo Manula akikaa langoni anakua nayo,Manula anajiamini na Akita beki zake wanamsikiliza Ally kujiamini na kuwafokea mabeki wanapokosea bado hajapata hiyo mamlaka kutoka na makosa anayofanya,Ile Hali ya kujiamini aliyokua nayo baada ya ngao angeendelea kuwa nayo Mamlaka hiyo angeipata na Angekua anapanga ukuta wake vizuri na wangemwamini
Ieleweke Diarra kafungwa game 2 hizo goli 4 ana Cleansheet 5 Ally Salim kafungwa game 4 hizo goli 5 unaona utofauti hapo?Golikipa mzuri anaipa timu asilimia sitini ya ushindi 60%.
Kama golikipa ni mbovu hata mabeki wanacheza kwa hofu na kishindwa kupandisha timu ama kushambulia.
Lakini hadi sasa kwenye msimamo wa ligi.
Simba amefungwa goli 5 tano tu.
Yanga amefungwa goli 4 nne.
Tofauti ya Ally salum na Diara ni goli moja tu.
Unacheza na Alhly golini una Ally salum unategemea ushindi.
UONGOZI WA SIMBA UNAZINGUA MNO.
AtakutukanaWewe GENTAMYCINE njoo huku ujifunze watu wanavyoweza kujenga hoja,siyo matusi wala kebehi!.
Huyu NALIA NGWENA kila mtu anajua ni shabiki wa timu gani,lakini namna alivyojenga hoja kila mtu anatamani kuchangia!
Njoo ujifunze namna ya kujenga hoja na si kujenga ushambenga!
WANAJUANA HAO.
jikite KWENYE HOJA mkuu.ETI UKUTA WA YERICKO.....ukuta wa ..o...ko
NAKAZIATuweke ushabiki. Pembeni, Ally Salim bado hajakomaa kudaka mechi kubwa Kama Simba watakosea kumpanga derby ataleta kilio kikubwa
KWELI KABISAGolikipa mzuri anaipa timu asilimia sitini ya ushindi 60%.
Kama golikipa ni mbovu hata mabeki wanacheza kwa hofu na kishindwa kupandisha timu ama kushambulia.
Lakini hadi sasa kwenye msimamo wa ligi.
Simba amefungwa goli 5 tano tu.
Yanga amefungwa goli 4 nne.
Tofauti ya Ally salum na Diara ni goli moja tu.
Unacheza na Alhly golini una Ally salum unategemea ushindi.
UONGOZI WA SIMBA UNAZINGUA MNO.
TENA MASHABIKI WA VIBANDA UMIZA NDIYO WABISHI HASWAAAAA.Nilipotoka tu kwenye kibanda umiza baada ya mechi, nikawauliza wenzangu niliokuwa nao kwamba " mmebaini nini tatizo simba kuruhusu magoli kirahisi hivi!?" Wakajibu"mabeki hawapo makini" Nikawaambia," big nipo!! Tatizo ni kipa." Simba haina kipa bora, Manura tu ndo kipa makini na bora msimbazi." Walikubali moja kwa moja ni kweli. Nashukuru nawe mkuu umeliona hili. Uongozi uchukue hatua fasta. Makipa wanafungwa magoli kwa kutema mipira. Watu hawalioni hili?!!
Ally Salim anapangiwa kwa maelekezo ya viongozi, haiwezekani kipa afanye makosa yanayofanana mechi tatu mfululizo aendelee kupangwa. Kama Simba wangempanga mwarabu walipocheza na Al ahly angeweza kutuliza timu pale inaposhambuliwa na hata kucheza na saikolojia za waarabu Kama kupoteza.muda na mengineyo.NAKAZIA
Ila dogo ana bahati sana ila ameshindwa kabisa kuitumiaTuweke ushabiki. Pembeni, Ally Salim bado hajakomaa kudaka mechi kubwa Kama Simba watakosea kumpanga derby ataleta kilio kikubwa
Kuna wakati mwingine huwa akili zinakurudia na kuandika vitu vyenye mantiki!! Shida ni kwamba hii hutokea nadra sana kama kaka kuona kama hivi leo!! Lakini sijawahi kuona umeandika vitu vyenye mantiki kuihusu Yanga!! Unazi umekupofusha macho!!!Nimeona baadhi ya watu wakiushambulia Ukuta wa Yericko (electrical Fence) bila kujali/kuangalia kipa anafungwa magoli ya namna gani Bali mashabiki wanapaza sauti tu kila wanapoona timu yao ya Simba sc inaporuhusu magoli.
NALIA NGWENA naandika huu uchambuzi kiufundi kwa kujenga hoja baada ya kuona baadhi ya mashabiki kuanza kumkumbuka "Onyango'' na kusema kuwa alitengeneza combination nzuri sana Kati yake na Enonga Bacca.
Sikatai kwa hiyo point lakini tujiulize kipindi Ukuta wa Simba sc hauruhusu magoli mengi Nani alikuwa golini (kipa)?
Jibu ni "Aishi Manula" na hakuna asiyejua ubora wa Aishi Manula anapokua langoni (golini) huyu ni kipa Bora mwenye kipaji ni kipa ambaye alipanga mabeki wake vizuri na ni kipa ambaye alikuwa mkali sana anapoona beki analeta mchezo/mzaha katika lango lake.
Kwa hiyo ubora wa Aishi Manula ulifanya combination ya "Onyango'' na "Enonga Bacca" kuwa moja Kati Ukuta mgumu sana kupata matokeo.
Ukuta wa Electrical fence (Enonga na Che-malon Fondoh) ni Ukuta mzuri pia ukitazama ukabaji wa Malone na pia ukitazama Enonga Bacca ni beki mzuri Ila tatizo linakuja kwa Kipa Kuna muda Makipa wa Simba sc wanafungwa unaona kabisa siyo kosa la mabeki.
Tizama Goli la Simba vs Ihefu, Ally Salimu anapigiwa mpira anatema mbele ya opponent, na anaadhibiwa kwa kosa alilolifanya.
Maoni Yangu: ni ngumu beki kuwa Bora wakati kipa ni mbovu, na kipa kuwa Bora anategemea ubora wa beki.
Nawasilisha hoja.
Mbona magoli aliyofungwa dogo Salimu HUZUNGUMZII??Mleta mada unaleta pumba El shenawy alivyofungwa goli dhidi ya mamelod juzi ililiona? Lile la kanute je? Ni kweli dogo mechi zingine anazingua lakini sio mechi ya ihefu
TULIA HIVYO HIVYO.Kuna wakati mwingine huwa akili zinakurudia na kuandika vitu vyenye mantiki!! Shida ni kwamba hii hutokea nadra sana kama kaka kuona kama hivi leo!! Lakini sijawahi kuona umeandika vitu vyenye mantiki kuihusu Yanga!! Unazi umekupofusha macho!!!
Si kawaida yako kutokuandika nyuzi nyingi sana Simba inavyokabiliwa na mchezo muhimu!! Ila safari hii naona kimya, kulikoni?? Nasubiri kusikia ukisema Simba 0 - 5 Yanga!! Kimya hiki kinaashiria unatarajia maumivu!!
YEYE NDIYO AFADHARI SIMBA SC UNAZANI WANAWEZA KUMPANGA AYUBUIla dogo ana bahati sana ila ameshindwa kabisa kuitumia
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app