Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Simba imekuwa na makipa wengi sana, lakini sijui yupi ni mkali zaidi kwa uhodari wa kudaka?
Kina Mambosasa tumezisikia sana sifa zao, Idd Pazi, Mwameja, Kaseja, etc.
Nia na dhamira yangu ni kufanya jamii ya Watanzania ianze kuwathamini na kuwaenzi wachezaji wake.
Kina Mambosasa tumezisikia sana sifa zao, Idd Pazi, Mwameja, Kaseja, etc.
Nia na dhamira yangu ni kufanya jamii ya Watanzania ianze kuwathamini na kuwaenzi wachezaji wake.