Kipa Simba Angban, amchapa ngumi Kessy

Ngumi tena?
Hivi simba haina wanachama wenye akili wafanye maamuzi magumu?

Ndugu yangu enzi za kina Bamchawi, Privatus Mtema na "Boris Yelstin" hazipo tena, enzi hizo Mtu anatufanyia uhanithi kama hawa Friends of Simba tunateka timu!
Timu wamekabidhiwa wachuuzi wa Ngada mjini hakuna kingine.
Huyu kessy kwake Mafanikio ni kuchezea Simba na Yanga ndio sababu kishajiona level ya kina Suarez Mwenzie kipa anajua anachokihitaji. Hata Nonda Shaban aliwakuta kina "Kessy" wa wakati huo akapita akawaacha! Wabongo tunaridhika haraka sana
 
Huyo kessy ni bwege tu kama walivyo wachezaji wengine wa kitanzania wanaoichezea simba kwa sababu raia wa kigeni kukupiga ukiwa nchini kwako ni aibu kwa nchi, hivyo kwa kuwa hakupata utetezi alipaswa kuzichapa ili kuweka heshima mjini. Huyo mu-ivory coast angekutana na nyosso angejua nini kingefuata. Acheni ubwege, huwezi kwenda ulaya, marekani, china na hata urusi ukampiga raia wao ukabaki salama! Watakupa masaa machache uwe umeondoka nchini mwao. Lazima tulinde utaifa wetu.
 
Pamoja nakudai kessy anatumika japo hakuna aliyedhibitisha lakini nawalaumu sana sana wachezaji wa simba kwa kitendo cha kessy kupigwa afu mnamwangalia tu mmekosa ushirikiano ndani na nje ya uwanja ndoo maana mzee rage aliwaita mambumbumbuuuuu
 
MIMI KWA UPANDE WANGU NAONA AGBAN ALIMPIGA KESSY KUFICHA UDHAIFU NA MAKOSA YAKE. KAMA ADHABU YA KOSA NI KIPIGO HATA YEYE AGBAN ALIPASWA KUPIGWA KWANI YEYE ALIFUNGWA GOLI LA HOVYO KABISA KWA SABABU ALIKUWA MBELE SANA YA GOLI BILA SABABU YA MSINGI NA NINASHANGAA WATU HAWALIONI HILI. ILA KAMA KWELI KESSI ANATUMIWA KUHUJUMU TIMU (JAPO SITAKI KUAMINI) INABIDI AWE MAKINI KWANI HATA HAO WANAOMTUMIA HAWATAMTAKA HATA WAKIMCHUKUA WATAKUWA NAYE KWA MUDA TU KWANI TABIA YA USALITI HUWA HAIACHWI KIRAHISI.
 
Huyu Kessy Ni Jipu Lililotukuka Na Sasa Baada Ya Yeye Kumwaga Mboga Sisi Mashabiki Tunamwaga UGALI Na Niombeeni Tu Nitaweka Kila Muamala Wake Aliotumiwa Na Viongozi Wa Upande Wa Pili.
Teh....

Huu unaitwa mkwara mbuzi....Au mkwara wa nyau!...

Wa matopeni kweli mmechanganyikiwa...
 
Yule Dogo Kessy lazima ajitambue ata huko atakapo enda kwa mchezo ule atatimuliwa tu hizi timu unapozichezea lazima utumie weledi wa hali juu sio ule upuuzi alioufanya yeye tena wakati muhimu kama huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…