Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,073
- 1,862
Hii sio kauli ya kiuanamichezoAlbino katoa tamko?
Ningesema zeruzeru una haki ya kusema.Hii sio kauli ya kiuanamichezo
Kwani ni lazima umtambulishe kwa kutumia ulemavu wake?Basi sawaNingesema zeruzeru una haki ya kusema.
Ngumi tena?
Hivi simba haina wanachama wenye akili wafanye maamuzi magumu?
Teh....Huyu Kessy Ni Jipu Lililotukuka Na Sasa Baada Ya Yeye Kumwaga Mboga Sisi Mashabiki Tunamwaga UGALI Na Niombeeni Tu Nitaweka Kila Muamala Wake Aliotumiwa Na Viongozi Wa Upande Wa Pili.