Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Huyu huyu alipigwa na Aziz Ki.Kipa wa Mamelod Sundowns Rollen William aongoza kwenye kura za mashabiki tuzo za Ballon D'or mwaka 2024 Upande wa Makipa akiwa na asilimia 55.9% akifatiwa na kipa wa Madrid A.Lounine akiwa na asilimia 21.9% hapo awali ziliongozwa na kipa was Real Madrid Lounine. kwa asilimia 59% kabla ya kipa wa Mamelod kumpiku.
Kwa Upande wa men's Ballon d'or kura zinaongozwa na Vinicius 42. 2% akifatiwa na Jude Bellingham akiwa na 10%.
Soma Pia: Nani kuwarithi Messi na Ronaldo katika Ballon d'Or 2024?
Kaka ata ungekuwa wewe ile ngoma ungeifata?Huyu huyu alipigwa na Aziz Ki.
Hakika hata kunyanyua mkono nisingethubutu.Kaka ata ungekuwa wewe ile ngoma ungeifata?
Nakushangaa hujasema ni Diara.Wanataka kutifariji watu weusi.
Kwahiyo?Huyu huyu alipigwa na Aziz Ki.
Kipa wa mchongo.Kwahiyo?
Muda wake utafika tu ni nyanda wa kimataifa yuleNakushangaa hujasema ni Diara.