Kipa wa mbao akutwa na tuhuma za mlungula

Hili jambo ni kubwa..inabidi pcb walifatilie na ikiwa itathibitika hizi habar ni za kweli wahusika wapelekwe mahakaman na sheria ichukue mkondo wake
 
Simba pia anyanganywe point 3 alizopata kwa rushwa na hongo za mbao..
Simba hawana lolote kazi yao kunua mechi tu.
 
Man U walishinda kombe la UEFA dhidi ya Bayern Munich kwa kusawazisha goli na kushinda ndani ya dakika 2. Na kuchukua kombe, sijui ajabu ni nini kwa simba kusawazisha na kushinda ndani ya dk 10
Siku Man U aliposawazisha, Kaburu wa Man U aliingia vyumbani kwa Bayern wakati wa mapumziko?
 
Wapuudhi sana hawa wanamsimbazi.. Sehem ambayo inapaswa kujifunza kutokana na makosa mnatumi pesa kuficha udhaifu wa timu... Ni bora kufungwa ukajua ubovu uko wapi ili urekebishe makosa yako.. Kwa mtindo huu tutakuwa wasindikizaji tu kila mwaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…