Kipaji cha Mpira

Kipaji cha Mpira

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
21,952
Reaction score
43,265
Kila mtanzania alikuwa na kipaji cha kucheza Mpira wazazi tu ndo walikuwa kikwazo..!!

Nimekula sana fimbo aiseee kisa kuchelewa kurudi home[emoji24][emoji24][emoji24] mpaka nilinyosha mikono hili taifa mpira wetu kufika mbali ni kazi mnoo wachache walioweza kuwavimbia na kuvumilia vipigo vya wazazi leo ndo wamekuwa mastar[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila mtanzania alikuwa na kipaji cha kucheza Mpira wazazi tu ndo walikuwa kikwazo..!!

Nimekula sana fimbo aiseee kisa kuchelewa kurudi home[emoji24][emoji24][emoji24] mpaka nilinyosha mikono hili taifa mpira wetu kufika mbali ni kazi mnoo wachache walioweza kuwavimbia na kuvumilia vipigo vya wazazi leo ndo wamekuwa mastar[emoji23][emoji23][emoji23]
Ulikuwa hauna kazi tu ya kufanya mkuu
 
Mzee wangu aliwahi kuniambia atanikata masikio kisa mpira, ila siku naenda kusomea professional yangu akaniuliza kwanini nisikupeleke kwenye shule ya vipaji ucheze mpira? Nikamjibu 'unikate masikio'
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hakuamini siku amenikuta uwanjani nacheza baada ya kupelekewa taarifa na mafarisayo wa mtaani. Nilirudi nyumbani nikakuta anashuhudia watu umahiri wangu.

Ila kauli yake ya kunikata masikio sikuipenda.
 
Hakuamini siku amenikuta uwanjani nacheza baada ya kupelekewa taarifa na mafarisayo wa mtaani. Nilirudi nyumbani nikakuta anashuhudia watu umahiri wangu.

Ila kauli yake ya kunikata masikio sikuipenda.
Ni kawaida sana kuponda kitu halafu baadae ndio utaona umuhimu wake
 
Back
Top Bottom