Kipaji chako kina thamani zaidi ya fedha

Kipaji chako kina thamani zaidi ya fedha

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
338
Reaction score
180
Watu waliogundua uwezo walionao, upekee na umaalumu na kuutumia kwa manufaa yao na ya jamii yao ndio waliofanikiwa zaidi kwenye ulimwengu wa leo.

Vipaji walivyonavyo vimegeuka kuwa mashine ya kuzalishia fedha na kuwapa kuishi maisha wanayoyataka.

Hebu soma hapa zaidi uweze kujifunza kutokana na kipaji chako ulichonacho => Kipaji chako kina thamani zaidi ya fedha | Fikra Pevu
 
Vipaji kwa Tanzania labda vya kuimba na kukata mauno!
 
Back
Top Bottom