Kipanya Cartoon: CCM wana King 3, CHADEMA 1

Kipanya Cartoon: CCM wana King 3, CHADEMA 1

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
20250106_075958.jpg
 
Sijui ni kibonzo cha lini, lakini kama sio cha leo (kabla ya Heche kutangaza kugombea umakamu mwenyekiti wa Chadema) basi ilikuwa inamaanisha hizo kings tatu za kijani ni Mbowe, Wenje na Abdul, dhidi ya Lissu.
umeua bendi!
 
Lisu Kamvuruga Mzee Mbowe. Eti sasa wafuasi wa Mbowe wanamuita Lisu kichaa!!!
Kweli mbowe alitengeneza wahuni badala ya viongozi.
 
Tatizo mchezo unachezwa kwenye njia zisizo sahihi. Draft limegeuzwa. Wangetakiwa wachezs kwenye njia nyeupe.
Ingechezwa njia Sahihi Chadema wangepata draw,ila Kwa hapo inaonekana hata Draw hamna lazima Chadema wafungwe
 
Back
Top Bottom