Kipanya hapa sijakuelewa ujue

Ana maanisha nini? Na hii brenda ya kijani nayo vipi

View attachment 2140882
Chadema imesagwa sagwa na CCM toka Hali ya uyabisi(solid) yaani tikiti mpaka Hali ya ukimiminika(liquid) yaani juisi.

Kwahiyo amemaanisha kuwa saizi chadema haitakua na nguvu dhidi ya serikali Kama mwanzo.

NB: Maana hii ni mtazamo wangu sio wa kipanya huenda yeye anawazo tofauti.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 

Hahahaha...Wakikusikia !!!!, Umejitahidi kiasi chake kuielezea lugha ya picha yenye maneno ELFU MOJA.
 
Hakuna kelele utaiskia tena kutoka kwa Mwnyekiti DJ akiilaumu serikali ya maza pamoja na wafuasi wake,Maza amevunja vunja nguvu zote za wapiga fujo.
 
Titiki maji (CHADEMA), blender (CCM)
Hapo kumaanisha Chadema imesagwa (kuvunjwa vunjwa) kutoka ugumu iliyokuwa nayo mpaka kupata kimiminika yaani juisi (CHADEMA kuwa nyepesi)
 
Ingetoka juice ya kijani ndiyo ungesema Chadema kwishney lakini kwa wekundu huo Chadema ipo tena ipo sana inaweza tu kubadili mbinu za mapambano.
ipo lakini imesagwa hivyo haina nguvu.
Yaani ndani ya Chadema nguvu imepungua ndio maana Tumepata Hadi Covid-19 na hapo Chadema inanyweka.
 
Wanawanywa wenzao... wamewalegeza...
 
Mtu kasagwa kalainika kawekwa kwenye glasi watu wamnywe
 
Mama anadanganya watu kuwa cherehani ya kushona nguo inaweza kuzalisha juice!!
Titiki maji (CHADEMA), blender (CCM)
Hapo kumaanisha Chadema imesagwa (kuvunjwa vunjwa) kutoka ugumu iliyokuwa nayo mpaka kupata kimiminika yaani juisi (CHADEMA kuwa nyepesi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…