Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo 40% ni kodi mpya tena au ndo misada ilio katwa kwenye bajeti yetu ya mwaka?
40% waliyopunguza UK itahamishiwa kwa punda akamuliwe zaidi
Hapana huyu punda inezidiwa mzigo mpaka umemyanyua juu huo mzigo mkubwa.40% waliyopunguza UK itahamishiwa kwa punda akamuliwe zaidi
Hawanaga akili ya kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya serikali wanachowaza wao ni namna Gani ya kumkamua mwananchi zaidi kunenepesha matumbo YaoHiyo 40% ni kodi mpya tena au ndo misada ilio katwa kwenye bajeti yetu ya mwaka?
Ila kama ni msaada ambao ulikua una saidia annual bajeti ya nchi, serikali ina wigo mpàna wa kupinguza matimizi ya sio ya lazima kupata hizo pesa, futeni vyeo visio muhimu, kama mkuu wa wilaya, naibu waziri, magari ya kifahari nk.
Hali itawalazomisha wewe huoni ma graduate hawana ajira utalipaje kodi, watu kila siku wanakua masikini nani alipe kodi uchumi umeduma tu.Hawanaga akili ya kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya serikali wanachowaza wao ni namna Gani ya kumkamua mwananchi zaidi kunenepesha matumbo Yao
Hapo hawatafanya hivyo.Hiyo 40% ni kodi mpya tena au ndo misada ilio katwa kwenye bajeti yetu ya mwaka?
Ila kama ni msaada ambao ulikua una saidia annual bajeti ya nchi, serikali ina wigo mpàna wa kupinguza matimizi ya sio ya lazima kupata hizo pesa, futeni vyeo visio muhimu, kama mkuu wa wilaya, naibu waziri, magari ya kifahari nk.
Samia na genge lake akili yao yote iko kwenye uchaguzi!!
Hawa jamaa ili kubalance budget yao akili yao kila siku ni kuongeza mapato kwa kuwakamua wananchi badala ya kuangalia jinsi ya kupunguza matumizi yao!! Samia kuwa na baraza kubwa la mawaziri sio ishara ya ufanisi. Kwa nchi masikini, that is extravagance bibi. Punguza ukubwa wa baraza hali ya kiuchumi ni tete.
Punguzeni ukubwa wa baraza la mawaziri, punguzeni utitili wa manaibu Waziri, magari ya kifahari serikalini yawekewe mwongozo wa nani na nani atumie gari lipi. Magari kwenye msafara yapunguzwe kwa Rais yasizidi magari 10. Waziri mkuu magari 5. Punguza saana safari za nje ya nchi. Kwa sasa hivi Rais ana kwenda nje ya nchi kwa wastani wa Mara moja kila Mwezi. Hii si sawa. Na safari moja Inakula kwenye sh billion.
Lakini kwa akili za watawala wetu utakuta bado wanashindana kununua mashangingi ya serikali
Hiyo 40% ni kodi mpya tena au ndo misada ilio katwa kwenye bajeti yetu ya mwaka?
Ila kama ni msaada ambao ulikua una saidia annual bajeti ya nchi, serikali ina wigo mpàna wa kupinguza matimizi ya sio ya lazima kupata hizo pesa, futeni vyeo visio muhimu, kama mkuu wa wilaya, naibu waziri, magari ya kifahari nk.
Hatumwelewi