Kipapai ni aina ya uchawi hatari unaotumika kuzubaisha na kuangamiza

Kipapai ni aina ya uchawi hatari unaotumika kuzubaisha na kuangamiza

Ibun Sirin

Member
Joined
May 20, 2022
Posts
50
Reaction score
106
Huu ni moja ya uchawi hatari sana, ni uchawi unaofanywa kwa malengo maalum na kwa muda maalum, kipapai ni kuzubaishwa au kuangamizwa na kudhurika kimwili na kiakili, kuna kipapai cha kumfanya hakimu kupindisha hukumu, kwa kifupi haya ni matukio ya kupumbaza akili na kuja kushtuka baadae mambo yanapokuwa yamekwisha, kuna kipapai cha maradhi mfano wa kiharusi pia kuna kipapai cha kwenda hovyo n.k.

Imeitwa kipapai kwasababu inavuruga akili mfano wa mbegu za papai zinavyo vurugika ukizipukuchua, pia mtendaji wa hili hupaka dawa ambayo hupelekea mikono kuwa mieusi mfano wa mbegu za papai.

1663659835483.png
 
Nahitaji kipapai Cha nikitoa milioni moja benki nipewe bilioni moja. Ila mbona uchawi wa kiafrika haupendi Mambo mazuri yaani uchawi tuliopewa africa.duu
A
Huu ni moja ya uchawi hatari sana, ni uchawi unaofanywa kwa malengo maalum na kwa muda maalum, kipapai ni kuzubaishwa au kuangamizwa na kudhurika kimwili na kiakili, kuna kipapai cha kumfanya hakimu kupindisha hukumu, kwa kifupi haya ni matukio ya kupumbaza akili na kuja kushtuka baadae mambo yanapokuwa yamekwisha, kuna kipapai cha maradhi mfano wa kiharusi pia kuna kipapai cha kwenda hovyo n.k.

Imeitwa kipapai kwasababu inavuruga akili mfano wa mbegu za papai zinavyo vurugika ukizipukuchua, pia mtendaji wa hili hupaka dawa ambayo hupelekea mikono kuwa mieusi mfano wa mbegu za papai.

View attachment 2362439
Tangazo lililochangamka
 
Nahitaji kipapai Cha nikitoa milioni moja benki nipewe bilioni moja. Ila mbona uchawi wa kiafrika haupendi Mambo mazuri yaani uchawi tuliopewa africa.duu

Wanao ufanya huo uchawi na wanao kwenda kwa wachawi hawana maono makubwa!
 
Back
Top Bottom