Hapana aisee.[emoji23][emoji23][emoji23]Pole mkuu,naona haujajikubali. Jikubali tu mahangaiko ya kunyoanyoa kisa kuficha upara ya nini? Mimi ni zaidi ya miaka 20 Sasa upo tu. Ninapotaka naacha nywele Kisha baadaye nanyoa,watu wameshanizoea[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]