Kipara Msumbiji ni kama Albino Tanzania...

Kipara Msumbiji ni kama Albino Tanzania...

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
Ukiwa na kipara Msumbiji inabidi uwe mwangalifu sana kwani waganga wa kienyeji wanatuma watu kwa malipo kuwasaka na kuwauwa kwa imani za kishirikina na utajiri wa fasta fasta kama Albino wanavyotishiwa uhai hapa nyumbani.

Screenshot_2017-06-08-18-05-31.png
 


Huko dawa ni kuvaa wigi kama nyoshi wa fm academia
 
Back
Top Bottom