Kipato cha kati

Haha jamaa katoa definition nzuri. ..matumizi lakini what if I spend the rated amount on buying one item at once? .. ..or unnecessarily alcohols consuming and things like that....

Sent using Jamii Forums mobile app
Minaona niuwe na uwezo wakuspend hicho kiwango bila kustrain...kwa sababu wengine watakunywa pombe alafu washindwe kulipa karo ama kununua msosi
 
Minaona niuwe na uwezo wakuspend hicho kiwango bila kustrain...kwa sababu wengine watakunywa pombe alafu washindwe kulipa karo ama kununua msosi
Manake italeta ukakasi kama unaweza tumia 23670 ksh kwenye pombe alafu umeshindwa kulipa karo,home wanakula ujinga tu,umevaa vitu chakavu unasema na wewe ni middle income individual

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uelewa wangu hakuna general meaning ama indicators za middle income person lakini hii hutegemeana na eneo husika ...

Kwa Tanzania naona middle income person ni yule ambaye ana Nyumba ya kawaida ama apartment plus gari na stable income inflow labda kutoka katika mradi au ajira ama vyote kwa pamoja ...

Kingine watu wa kipato cha kati hupatikana sana katika urban areas na ni Mara chache kuwakuta wanaishi nje ya mji sana kutokana na jinsi ya maisha yao...

Wengi ni waajiriwa kutokana na kada (proffession) zao kwa mfano waalimu , madaktari , wasimamizi wa viwandani , wasanii etc....

Wengi wanaishi kwa status pengine katika starehe kama bar na clubs , kuvaa kwao ama sehemu wanazopenda kufanyia manunuzi kama nguo ama saloons huwa NA hadhi tofauti na maskini wa kawaida

Note

Kwa Tanzania kwa sasa middle income ndo inakua hivyo unaweza kutoa tofauti katika miji mikubwa kiasi maana unaweza kukuta tajiri wa makete ni middle income earner wa dar...

Ni opinions sio facts

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My
Manake italeta ukakasi kama unaweza tumia 23670 ksh kwenye pombe alafu umeshindwa kulipa karo,home wanakula ujinga tu,umevaa vitu chakavu unasema na wewe ni middle income individual

Sent using Jamii Forums mobile app
My point exactly..unapata mtu ana earn kam 25k alafu anaitumia yote kwa uo mwezi,dharura ikitokea anaenda kopa..huyo ni mtu choka tu
 
My

My point exactly..unapata mtu ana earn kam 25k alafu anaitumia yote kwa uo mwezi,dharura ikitokea anaenda kopa..huyo ni mtu choka tu
Lakini anaenda aje kazi, analala wapi, anakula nini? So kama anaspend 23 kwa pombe lazima akue anapata kama 30-40k.
 
Yaah..I was ryt.the issue was to spend that not to make that amount
You was right wapi wewe umesema anayepokea laki tano za bongo hawezi kuwa mid income Kenya wakati Jamaa hapo anaeleza mid income wenu wanaspend that amount.
Spending yako lazima iendane na mshahara wako. So MTU anaepokea laki tano bongo ni mid income just like the same guy earning around the same amount in Kenya.

Na huku hiyo laki tano ni ndogo sana bado, kumbe hakuna tofauti kubwa sana kati ya Kenya na Bongo.
 
Lakini anaenda aje kazi, analala wapi, anakula nini? So kama anaspend 23 kwa pombe lazima akue anapata kama 30-40k.


Kwa maoni yangu, 40,000 Kenya haitoshelezi mtu kuwa middle income. In fact huyo ni mtu maskini sana kama ana Bibi (mke) na watoto. Nikitoka chuo kikuu mshahara wangu wa kwanza ulikua Ksh. 50k na sikua nafeel stable vile. Sahii nafanya kazi ya uhandisi - watu wangu wa mkono wengi wanapata zaidi ya Ksh. 30k na hawakaribii middle income hata. Huwezi nunua gari Kenya kwa mshahara wa 30k kama huna pato lingine na kuafford gari ni mojawapo ya criteria ya middle income.

Middle income Kenya naweza iweka pato la Ksh 100,000 Nairobi na Mombasa, Ksh. 70,000 Kisumu, Eldoret, Nakuru, Thika nk. na 50,000 mashambani.
 
Ili tuseme mtu huyu ni wa kipato cha kati anatakiwa kuwa na kiasi gani cha fedha katika mapato yake mathalani kwa mwezi,anahitajika awe anamiliki mali zipi Au awe na elimu kiasi gani...tudiscuss...

Sent using Jamii Forums mobile app

According to AFDB, Africa’s middle class is defined by the following:

Individuals or households that fall between the 20th and 80th percentile of the consumption distribution or between 0.75 and 1.25 times median per capita income, respectively; or
Individuals who have a daily spend of between $2-$20 per day (between Kshs 200 – Kshs 2,000) daily.

The key social identifiers of the African middle class include:
  • Achievement of tertiary education.
  • Holding professional qualifications, including academics, lawyers, chartered engineers, politicians, and doctors, regardless of leisure or wealth.
  • Hold salaried jobs or are small business owners
  • Young and in the acquisitive phase of life
  • Have fewer children and have strongly vested interest in their children’s welfare. Tend to opt for private healthcare and education
  • Aspirational
 
whats wrong with you,,,sijasema hawezi kua middle income kenya but tz atakua middle income..mbona unapenda kutafuta ligi kila mahali.?am very sure hata anaye earn laki tano bongo sio middle income huko tz.nliuliza tu ni pesa za bongo ama za tz cz kama nizabongo bado hajafikia but kama nizakenya amefikia..shida iko wapi apo sasa?
 
You maybe right, rent siku hizi ni expensive... and Kenyans have a consumerism culture, they spend on many things.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…