Barbarosa JF-Expert Member Joined Apr 16, 2015 Posts 22,584 Reaction score 27,817 Aug 22, 2016 #1 Kipchoge wa Kenya ni noma dadake, lkn katuzidi kidogo tu hata hapa kwenye Mbio pia tunaanza kuziba pengo, sijui Wakenya watatokea wapi mwaka huu kila mlipo tupo mpaka muombe poo, dadadeki!! 1. Eliud Kipchoge (KEN) 2:08,44 Std. 2. Feyisa Lilesa (ETH) 2:09,54 3. Galen Rupp (USA) 2:10,05 4. Ghirmay Ghebreslassie (ERI) 2:11,04 5. Felix Simbu (TAN) 2:11,15 6. Jared Ward (USA) 2:11,30 7. Tadesse Abraham (SUI) 2:11,42 8. Solomon Mutai (UGA) 2:11,49 Tanzania is coming!
Kipchoge wa Kenya ni noma dadake, lkn katuzidi kidogo tu hata hapa kwenye Mbio pia tunaanza kuziba pengo, sijui Wakenya watatokea wapi mwaka huu kila mlipo tupo mpaka muombe poo, dadadeki!! 1. Eliud Kipchoge (KEN) 2:08,44 Std. 2. Feyisa Lilesa (ETH) 2:09,54 3. Galen Rupp (USA) 2:10,05 4. Ghirmay Ghebreslassie (ERI) 2:11,04 5. Felix Simbu (TAN) 2:11,15 6. Jared Ward (USA) 2:11,30 7. Tadesse Abraham (SUI) 2:11,42 8. Solomon Mutai (UGA) 2:11,49 Tanzania is coming!
Jay456watt JF-Expert Member Joined Aug 23, 2016 Posts 10,356 Reaction score 7,992 Aug 25, 2016 #2 Naona mwakuja watanzania lakini kumbuka wale wakenya ni global superstars kwa riadha....mtaweza kweli?
Naona mwakuja watanzania lakini kumbuka wale wakenya ni global superstars kwa riadha....mtaweza kweli?