Kipele cheupe kwenye korodani!

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,153
Reaction score
2,647
Hiki kipele kimeota kwenye ngozi ya korodani, ni keupe na ni ngumu kwa kukiminya au kukishika, sasa kila nikijaribu kukikamua kinatoa usaha kwa mbali sana na pia damu inatoka si nyingi sana, na haiumi. JF Doctors, hii ni ugonjwa gani?
 
pole my dear! ngoja waje wajuzi.
 
Hiki kipele kimeota kwenye ngozi ya korodani, ni keupe na ni ngumu kwa kukiminya au kukishika, sasa kila nikijaribu kukikamua kinatoa usaha kwa mbali sana na pia damu inatoka si nyingi sana, na haiumi. JF Doctors, hii ni ugonjwa gani?

Nenda hospitali ndugu!!!
 
Hiki kipele kimeota kwenye ngozi ya korodani, ni keupe na ni ngumu kwa kukiminya au kukishika, sasa kila nikijaribu kukikamua kinatoa usaha kwa mbali sana na pia damu inatoka si nyingi sana, na haiumi. JF Doctors, hii ni ugonjwa gani?

Ugonjwa huo unaitwa kipeuo cha pili cha gono
 
Unaweza kumfanyia vipimo kwa kutumia keyboard yako?
Haya doctor, mtibu mgonjwa huyo!!

Kwani vipimo vipo hospitali au maabara. Yeye ametoa tatizo, yaani kamuona JF Doctor, sasa baada ya hapo ndio atashauriwa akafanye vipimo maabara. Wewe vipi jamaa!
 
PROBABLY hiyo ni CHANCRE,YA SYPHILIS.,vipi ulimi nao hauna kidonda kama vile umejingata? .,muone daktari wa magonjwa ya zinaa,.ambao pila ni madaktari wa ngozi .[Ugonjwa huo unaitwa kipeuo cha pili cha gono.,,,,nimecheka ile mbaya]
 
PROBABLY hiyo ni
CHANCRE,YA SYPHILIS.,vipi ulimi nao hauna kidonda kama vile umejingata?
.,muone daktari wa magonjwa ya zinaa,.ambao pila ni madaktari wa ngozi
.[Ugonjwa huo unaitwa kipeuo cha pili cha gono.,,,,nimecheka ile
mbaya]

Asante kwa maelezo!
 
Hiki kipele kimeota kwenye ngozi ya korodani, ni keupe na ni ngumu kwa kukiminya au kukishika, sasa kila nikijaribu kukikamua kinatoa usaha kwa mbali sana na pia damu inatoka si nyingi sana, na haiumi. JF Doctors, hii ni ugonjwa gani?

Pole mkuu Papa Mopao, ningekushauri kufika hospitali MAPEMA, uangaliwe tatizo ni nini..umetoa maelezo mazuri lakini hayatoshi kugundua chanzo ni nini, kwa maelezo yako tu inaweza kuwa mlolongo mrefu wa magonjwa lakini pia bado itahitajika kuchukua maelezo mengine na kufanya vipimo ambavyo hapa jukwaani haiwezekani kuvifanya.
 
Hata hapa ni Hospital, hujui kuwa hapa ni JF Doctor?

Hata kwa mganga wa kienyeji hutibiwi kwa satellite.
daktari anatumiaogani za fahamu kadhaa pamoja na kuona, na kushika.

Haiwezekani ikawa imetokana na kunyoa? Huwa unapata vipele vya kunyoa?
ni hatari kuminya kipele kisichoeleweka. Nenda ukaonane na daktari haraka iwezekanavyo.
 
Hiki kipele kimeota kwenye ngozi ya korodani, ni keupe na ni ngumu kwa kukiminya au kukishika, sasa kila nikijaribu kukikamua kinatoa usaha kwa mbali sana na pia damu inatoka si nyingi sana, na haiumi. JF Doctors, hii ni ugonjwa gani?

pole sana kiongozi,hebu jaribu kuambatanisha na picha tafadhari!!
 

Kipele kimeota juu ya ngozi ya korodan, pale hamna kunyoa!
 
Hiki kipele kimeota kwenye ngozi ya korodani, ni keupe na ni ngumu kwa kukiminya au kukishika, sasa kila nikijaribu kukikamua kinatoa usaha kwa mbali sana na pia damu inatoka si nyingi sana, na haiumi. JF Doctors, hii ni ugonjwa gani?

wasikutishe bana! sio STD..! hiyo ni epidermal cyst sijui kiswahili chake , you can either go to see a doc or u can do by ur self Here's what you do u take a sterile needle or other sharp object and insert it in to the center of the cyst and while bracing the skin by holding a finger right under the cyst. Then you rip the top of the cyst open by pulling the sharp object up through the top of the cyst to open it up. (sounds a lot more painful than it is). You can then easily squeeze out the contents and apply an antibiotic It heals quickly and never comes back. If kama hicho kipele cheupe ni kikubwa it's probably because you made several attempts to squeeze out the contents unsuccesfully and that makes them get bigger and harder.You can still open up and empty these large cysts but it's definitely going to hurt a little more. kama huwezi kufanya mwenyewe nenda kwa Dr. he will go same procedure It's not anything serious at all ni just minor cosmetic problem.. i hope this will help , Now get those unsitely things off your junk, man!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…