Kipele kwenye midomo au kijipu chini ya mapaja...

Shagiguku

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
409
Reaction score
138
Wadau hivi imewahi kukutokea labda ukapatwa kipele cha kwenye midomo au kijipu chini ya mapaja...?

kama wewe iliwahi kukutokea hali kama hiyo na una patina wako (mme, mke au mpenzi ..!!) je, ulimshirikisha katika kukitoBoa? na kama ulimshirikisha, unaweza kutuelezea utamu ama uchungu ulioupata, au patina wako aliogopa kukitoBoa...???
 
Location : Mwanza Tanzania (East Africa)
mambo ya mwanza haya aisee
 
mambo ya mwanza haya aisee



MAMBO YA MWANZA YAMEFANYAJE TENA JAMANI...???
 
Vipi na wewe ulimshirikisha mpenzio kukitoboa? Na ulisikia utamu au uchungu gani! Tupatie experience yako kwanza maybe tunaweza pata go ahead of ure thread!
 

nataman kuimba mabata madogo dogooo yanaogelea....lakin kwa mbaliiiii naogopa...
r u serious?asi uminywe uone inakuaje?sa utakuja kuuliza mpk vp wenzangu wakat wa kuha.r.isha..mnajiskiaje...
 

Whats this got to do with doctors? Nadhani mada yako ipo ki mahusiano zaidi...
 
[ndo maana nauliza, sina expiriensi yoyote......!!!!!!!!!
 
Si ujieleze kama una vijipu upate msaada, na huyo wa kushindwa kumweleza hawezi kuwa ni mume/mke sema hawara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…