MR. DRY JF-Expert Member Joined Oct 5, 2011 Posts 637 Reaction score 122 Jul 25, 2012 #1 Ninatatizo la kutoka kipele kikubwa pindi nikinyoa mavu.zi Kinauma sana hata kufunga mkanda inanitesa.. Nisaidieni kwa ugonjwa huu.
Ninatatizo la kutoka kipele kikubwa pindi nikinyoa mavu.zi Kinauma sana hata kufunga mkanda inanitesa.. Nisaidieni kwa ugonjwa huu.
1 19don JF-Expert Member Joined May 13, 2011 Posts 672 Reaction score 206 Jul 26, 2012 #2 mkuu hiki kipele kinaonenekana kina kutesa sana pole sana, punguza basi post naona umetuma nyingi hii ni ya 3
mkuu hiki kipele kinaonenekana kina kutesa sana pole sana, punguza basi post naona umetuma nyingi hii ni ya 3