Nikiwa Kama contractor niliyeshindikana nasemaje, watanzania kwa ujinga wetu ndio tumefanya kampuni ya ALAF kuongeza Bei ya bati kila kukicha.
Na yatafika Hadi laki kwa ujinga wetu
Toa njia mbadala, badala nawewe kulalamika. Bari zipi nzuri tupate ushuuhda.Nikiwa Kama contractor niliyeshindikana nasemaje, watanzania kwa ujinga wetu ndio tumefanya kampuni ya ALAF kuongeza Bei ya bati kila kukicha.
Na yatafika Hadi laki kwa ujinga wetu
Zipo njia za kufanya kupata bei nafuu.Habari wanajamvi, nashukuru mungu nimeweza kufika hatua ya linta katika Ujenzi wa Nyumba yangu ya makazi.
Ila leo nimejarbu kuanza kushusha hesabu ya UPAUAJI gharama zmekuw kubwa sana
Bati za GEJi 30 ni tshs 37500- 38000.
Hizo ni bei za bati za kampun kubwa hapa mjini.
Naona gharama kwangu zmekuw kubwa hadi nimeghari kupau mwaka huu naomben ushauri either utaonisaidia kupunguz gharama.
Mbao hesabu yake m2.7.pamoja na bandaring
Bati PC 120 , Tshs m4.3+.
Hapo bado misumari na malipo ya fundi.
piga bati ya kuficha gonga slope inamwaga nyuma.tia marenmmbo rembo ishu imekataHabari wanajamvi, nashukuru mungu nimeweza kufika hatua ya linta katika Ujenzi wa Nyumba yangu ya makazi.
Ila leo nimejarbu kuanza kushusha hesabu ya UPAUAJI gharama zmekuw kubwa sana
Bati za GEJi 30 ni tshs 37500- 38000.
Hizo ni bei za bati za kampun kubwa hapa mjini.
Naona gharama kwangu zmekuw kubwa hadi nimeghari kupau mwaka huu naomben ushauri either utaonisaidia kupunguz gharama.
Mbao hesabu yake m2.7.pamoja na bandaring
Bati PC 120 , Tshs m4.3+.
Hapo bado misumari na malipo ya fundi.
Ndugu si kila kitu ni biashara. Ungenipa makisio kwa wastan tu ingekaa vizur. Kma una mawazo saidia hapa wengine watafaidikaZipo njia za kufanya kupata bei nafuu.
Namba uwasiliane na Uvimo Group wataalam wa ujenzi na kupaua tubadilishane uzoefu
Namba za ofisi ni
0753927572 wasap
0629361896 kupiga
Tazama kazi ya wiki hii.
Unataka mwezio awe analoa kipindi cha masika?piga bati ya kuficha gonga slope inamwaga nyuma.tia marenmmbo rembo ishu imekata
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa Kama contractor niliyeshindikana nasemaje, watanzania kwa ujinga wetu ndio tumefanya kampuni ya ALAF kuongeza Bei ya bati kila kukicha.
Na yatafika Hadi laki kwa ujinga wetu
Wewe unahitaji bati ngapi? Geji 30. Bei ni 30 kwa bati la upana 75cm urefu futi 10. Kama unataka lenye mikunjo ya kigae ndio inakuwa 37k upana 80cmHabari wanajamvi, nashukuru mungu nimeweza kufika hatua ya linta katika Ujenzi wa Nyumba yangu ya makazi.
Ila leo nimejarbu kuanza kushusha hesabu ya UPAUAJI gharama zmekuw kubwa sana
Bati za GEJi 30 ni tshs 37500- 38000.
Hizo ni bei za bati za kampun kubwa hapa mjini.
Naona gharama kwangu zmekuw kubwa hadi nimeghari kupau mwaka huu naomben ushauri either utaonisaidia kupunguz gharama.
Mbao hesabu yake m2.7.pamoja na bandaring
Bati PC 120 , Tshs m4.3+.
Hapo bado misumari na malipo ya fundi.
Nini tatizo hadi ALAF wapandishe bei? kimsingi Bei za Alaf ni sawa na za makampuni mengine. Watu wasio na uelewa wanadhani bei ya ALAF ni kubwa kwa sababu wanazalisha bidhaa bora. nitakupa mfano mzuri.Nikiwa Kama contractor niliyeshindikana nasemaje, watanzania kwa ujinga wetu ndio tumefanya kampuni ya ALAF kuongeza Bei ya bati kila kukicha.
Na yatafika Hadi laki kwa ujinga wetu
Kuna kiwanda siku mark jina lake kiko Tabata njia hii ya Mandela ukitoka Ubungo kuelekea buguruni sheliNahitaji Bati G30 mgongo mpana ? Hiyo Bei niya kampuni gani
Unavyozidi kusubiria ndivyo gharama inaongezeka,maisha yanaenda mbele sio nyuma..Habari wanajamvi, nashukuru mungu nimeweza kufika hatua ya linta katika Ujenzi wa Nyumba yangu ya makazi.
Ila leo nimejarbu kuanza kushusha hesabu ya UPAUAJI gharama zmekuw kubwa sana
Bati za GEJi 30 ni tshs 37500- 38000.
Hizo ni bei za bati za kampun kubwa hapa mjini.
Naona gharama kwangu zmekuw kubwa hadi nimeghari kupau mwaka huu naomben ushauri either utaonisaidia kupunguz gharama.
Mbao hesabu yake m2.7.pamoja na bandaring
Bati PC 120 , Tshs m4.3+.
Hapo bado misumari na malipo ya fundi.
Nakuunga mkono,Kwenye ujenzi mnapenda kutishana mno.