Kipengele muhimu kabisa kwenye Katiba Mpya

Kipengele muhimu kabisa kwenye Katiba Mpya

Seneta Wa Mtwiz

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
3,635
Reaction score
4,160
[emoji1318]
WAKUU,

KUNA IDEA KUNTU SANA NIME_DEVELOP HAPA-

KWENYE HII KATIBA YETU MPYA AMBAYO MAZA AMESEMA TUJADILIANE NAYE NA PIA TUMPE MUDA,

MUDA UKIFIKA MASELA TUNG'NG'ANIE KIPENGELE CHA ADHABU YA KUMDUFUA MIMBA MWANAFUNZI KIBADILISHWE,
KIWE NI MIEZI 6 TU,
ILI WATU WAWAHI KUTOKA JELA NA KUJA KUSAIDIA MALEZI YA MTOTO.

HII YA KIFUNGO CHA MIAKA 30 HII IONDOLEWE KABISA HII!!!
[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]

AU NASEMA UONGO MKUU??
[emoji1318][emoji1318][emoji1318]

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom