Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,156
Karibuni tujadili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais kumteua jaji mkuu, mwanasheria mkuu, mkuu wa polisi na msajili wa vyama vya siasa
Kwa sasa tuna jumla ya majmbo mangapi? Na yatapunguzwaje mpaka yafkie 50 kwa TZ bara? Naomba jbu jaman...
Hakuna hatima ya katiba ya tanganyika,na haijulikani ni lini watakuja kuanzisha mujadala huo.
Siyo hayo majimbo ya sasa,ni mjimbo yatakayotoa wawakilishi wa muungano tu.(wabunge wa muungano)
Rasimu hii imejikita zaidi kwenye muungano tu, vitu vingi vya msingi wameviacha, ina maana baada ya hii tunaanza mchakato wa katiba ya Tanganyika?