Kipi bora kati ya haya....

SKOMBA

Member
Joined
Jan 3, 2012
Posts
13
Reaction score
2
Hivi wana JF ni bora kuwa na girl au boy friend ambaye umempenda sana zaidi ya anavyokupenda au inabidi yeye akupende sana wewe zaidi ya unavyompenda? Jimwagemwage hapo....
 
Bora asinipende, mana naogopa kukwera....Hawa wanawake wana wivu sana.
 
duh....mie naona bora anipende kuliko navyompenda yeye
 
Anipende na mimi nimpende ndio hata Mungu anataka hvyo.
 
Swali lako si jepesi na fupi kama thread yako ilivyo fupi.
Upana wa hii maneno umetawaliwa na utata wa suala lenyewe, na hasa kutokana na vigezo vifuatavyo ;-
* Penzi halionekani (invisible untranceparency) * Haligusiki (untourchable).
* Halipimiki
Shortly ni kitu kinachokaa ndani ya nafsi ya muhusika.
Binadamu anaweza akaonekana ana makeke sana ya kupenda kumbe ana'act (anaigiza) na mwingine aweza asiwe na makeke katika kupenda akawa ndiyo yuko serious mpendaji.
Hivyo mie nakosa jibu sahihi katika mada hii.
 
Hivi wana JF ni bora kuwa na girl au boy friend ambaye umempenda sana zaidi ya anavyokupenda au inabidi yeye akupende sana wewe zaidi ya unavyompenda? Jimwagemwage hapo....

penzi unalipima kivipi, vile hata ukaweza kujua mnapenda sana au al, au yupo anayempenda mwenzi zaidi ya mwenziwe...........kabla sijamwaga busara zangu humu.........................nielimishe kwanza........
 
Sharti ni Mpende akupendae, ukipenda pasipo pendeka, yako kamba maana utaona wenzako wanakuchukulia kumbe yeye hakutaki na humo katika mipango yake, kama una machozi ya kuonyesha machungu, jaribu kupenda asiyekupenda kama umpendavyo wewe uone cha mtema makuni
 
mepenzi ni nini, na utajuaje kuwa unapenda zaidi ya unavyopendwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…