Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,435
- 1,192
Wakuu msaada kwa wale wabobevu wa uchumi kipi sahihi hapo kupangisha sehem frem penye watu sio wengi na bei 30 elf wakati huo huo kwa sh elf 50 eneo populated.
Asanteni.
Asanteni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawaBiashara is all about changanyikeni. 20k si kitu kwenye mzunguko.
Unless unaenda kufanya biashara ya mganga wa kienyeji, hapo nenda tu ambako hakuna changanyikeni
Aiseebiashara ni locations
watu sio wajinga kupanga fremu ndogo kabisa kariakoo yenye kodi milioni kwa mwezi, na kuacha fremu kubwa za elfu 50 zilizojaa maeneo mengine
NashukuruBiashara ni watu nafikiri wemeshakupa muongozo wachangiaji.
Duka la mangi mkuuUnataka kuuza nini kwani, labda biashara yako haihitaji watu wengi....
Kujilipua sioIngekuwa elfu 30 eneo lisilo changanyikeni Vs lak moja populated area ningechagua populated area
Hesabu za kawaida kabisa.Kujilipua sio
Inategemea unataka kuuza nini. Mfano labda unataka kuuza unga wa ugali, mchele, unga wa ngano; maharage na grains zingine: unaweza ukauza vizuri zaidi katika mitaa ya makazi kuliko huko kwenye populations.Wakuu msaada kwa wale wabobevu wa uchumi kipi sahihi hapo kupangisha sehem frem penye watu sio wengi na bei 30 elf wakati huo huo kwa sh elf 50 eneo populated. Asanteni.
Duka la mangi mkuuInategemea unataka kuuza nini. Mfano labda unataka kuuza unga wa ugali, mchele, unga wa ngano; maharage na grains zingine: unaweza ukauza vizuri zaidi katika mitaa ya makazi kuliko huko kwenye populations.
Duka la reja reja ni bora zaidi mitaani kuliko kwenye population. Kwenye population inakuwa bora kama unauza jumla na reja reja. Kama ni reja reja peke yake, uza mtaani. Biashara yoyote unaangalia mahali wateja wako walipo na sio idadi ya watu. Wateja ndio hununua bidhaa zako na siyo idadi. Mtu hawezi kutoka nyumbani kwenda mbali kununua kiberiti, unga wa ugali, wembe, sabuni, sigara, mafuta ya mgando ya kujipaka, mshumaa.Duk
Duka la mangi mkuu
Sio 50 Tu hata laki mtu unalipa kama sehem itakufanya ufikie Target!Wakuu msaada kwa wale wabobevu wa uchumi kipi sahihi hapo kupangisha sehem frem penye watu sio wengi na bei 30 elf wakati huo huo kwa sh elf 50 eneo populated.
Asanteni.