Mkuu unapoongea kitu jaribu kuwa mkweli and kuwa na uhakika na unachoongea.kuna ndugu yangu mwaka jana ameajiriwa chuo cha ualimu na hakuwa mwalimu from secondary,kamaliza form six kaingia chuo kamaliza kapata post chuo cha ualimu.
Jamani naomba mnisaidie, kuajiriwa chuo cha ualimu na kuajiriwa shule za secondary ni ipi nzuri kimshahara na hata kujiendeleza kieimu?
:clap2::clap2::clap2:
u can't be seriousPlease acha kupotosha watu; ajira zinatoka tarehe 20/3/2015 na kuripot vituoni ni tarehe 1/4/2015. Jumla ya walimu 36071 watapangiwa vituo ;Real & current newz,.
Please acha kupotosha watu; ajira zinatoka tarehe 20/3/2015 na kuripot vituoni ni tarehe 1/4/2015. Jumla ya walimu 36071 watapangiwa vituo ;Real & current newz,.
Kimshahara kwa sasa wakufunzi wanalipwa zaidi si sawa na walimu wa sekondari...kwa digrii ukipelekwa kufundisha secondary unaanza na TGTS D1 wakati mkufunzi anaanza na TGTS E1
Si kweli jamani. Mbona mnadanganyana huku. Embu kuweni mnaongea vitu mnavyovifahamu. Kiwango cha mshahara ngazi ya serikali ni sawa kwa wenye taaluma moja na level ya elimu sawa. Haijalishi sekondari au chuo. Kwa walimu degri wote ni TGTSD
Mkuu yawezekana na wewe hujui ina unaamini unajua kwa taarifa yakoo wakufunzi hawako kwa mkurugenzi wapo ksa katibu mkuu na mshahara wao anaanza na TGTSE kama hujui ni vema kuuliza mkuu
Mkuu yawezekana na wewe hujui ina unaamini unajua kwa taarifa yakoo wakufunzi hawako kwa mkurugenzi wapo ksa katibu mkuu na mshahara wao anaanza na TGTSE kama hujui ni vema kuuliza mkuu
Aliyekudanganya nani? kwani walimu Wa sekondari hawapo kwa katibu mkuu TAMISEMI? au unafikiri mkurugenzi ndio mwajiri wao mkuu??
Kwa taarifa tu viwango vya mshahara serikali kuu ni vilevile kulingana na kada na elimu.
Si kweli jamani. Mbona mnadanganyana huku. Embu kuweni mnaongea vitu mnavyovifahamu. Kiwango cha mshahara ngazi ya serikali ni sawa kwa wenye taaluma moja na level ya elimu sawa. Haijalishi sekondari au chuo. Kwa walimu degri wote ni TGTSD
Aliyekudanganya nani? kwani walimu Wa sekondari hawapo kwa katibu mkuu TAMISEMI? au unafikiri mkurugenzi ndio mwajiri wao mkuu??
Kwa taarifa tu viwango vya mshahara serikali kuu ni vilevile kulingana na kada na elimu.
Si kweli jamani. Mbona mnadanganyana huku. Embu kuweni mnaongea vitu mnavyovifahamu. Kiwango cha mshahara ngazi ya serikali ni sawa kwa wenye taaluma moja na level ya elimu sawa. Haijalishi sekondari au chuo. Kwa walimu degri wote ni TGTSD
Si kweli jamani. Mbona mnadanganyana huku. Embu kuweni mnaongea vitu mnavyovifahamu. Kiwango cha mshahara ngazi ya serikali ni sawa kwa wenye taaluma moja na level ya elimu sawa. Haijalishi sekondari au chuo. Kwa walimu degri wote ni TGTSD
Wewe ndio hujui. Ukweli ni kuwa mwalimu mwenye degree chuoni mshahara huanzia TGTS E1; wa sekondari huanzia TGTS D1.
nawasiwasi na elimu yako maana mshahara hulipwa kulingana na ngazi ya elimu uliyonayo.mfano mwalimu mwenye degree anayefundisha form three mshahara wake hauna tofaut na mkufunz wa chuo mwenye degree ikiwa waliajiriwa pamoja.
Si kweli jamani. Mbona mnadanganyana huku. Embu kuweni mnaongea vitu mnavyovifahamu. Kiwango cha mshahara ngazi ya serikali ni sawa kwa wenye taaluma moja na level ya elimu sawa. Haijalishi sekondari au chuo. Kwa walimu degri wote ni TGTSD