Kipi bora kununua Hiace mpya kwa 30M ama kuchukua Tata Marcopolo kwa mkopo

Yule mzee kasri alikua na DCM nyingi gongo la mboto pamoja na zingine ziliandikwa J3 Karan,sijui nini kilimkuta,ambaye anaongoza kwa kuwa na gari nyingi sahizi ni Madilu nazo zipo nyingi sana kwa hapa dar

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, J Karan n mtu mwingine mkuu,wa kitambo sana...J karan mmilik n mtu wa dini sana, wakati kasri zilikua zinagonga mziki balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe si mfanya biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…